Dhuluma za mafao ya wastaafu zote alichukua nakupeleka kwenye miradi ya ujenzi.Chuma kilikua kinatoa wapi pesa za kufanya yote haya??
HANA UBAVU HUYO HATA WAKATI WA MAGUFULI MLISEMA HIVYO HIVYO Je MAGUFULI YUKO WAPI?Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango leo ameweka jiwe la msingi katika Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini - Mtwara lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani eneo la Mitengo Mkoa wa Mtwara.
#KaziIendelee
Source: Wizara ya Afya
View attachment 1869681
View attachment 1869682
View attachment 1869683
View attachment 1869684
Akili za kibongobongo hizi, jiwe la msingi hospital ya rufaa tu eti wapinzan watapoteana 🤣🤣🤣🤣Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango leo ameweka jiwe la msingi katika Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini - Mtwara lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani eneo la Mitengo Mkoa wa Mtwara.
#KaziIendelee
Source: Wizara ya Afya
View attachment 1869681
View attachment 1869682
View attachment 1869683
View attachment 1869684
Tumekopa sasa madeni hayalipiki tunaambiwa kodi ya uzalendo kujengea madarasa na barabara za vijijini.Kasi gani?
Hujui hilo jengo pia ni kodi yako?
Typical banana republic stuff