Kwa Kasi Hii Rais Samia Suluhu Hassan lazima Upinzani upoteane nchini

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
666
835
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango leo ameweka jiwe la msingi katika Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini - Mtwara lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani eneo la Mitengo Mkoa wa Mtwara.

#KaziIendelee

Source: Wizara ya Afya

20210727_025229.jpg

20210727_025232.jpg

20210727_025234.jpg

20210727_025236.jpg
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango leo ameweka jiwe la msingi katika Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini - Mtwara lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani eneo la Mitengo Mkoa wa Mtwara.

#KaziIendelee

Source: Wizara ya Afya

View attachment 1869681

View attachment 1869682

View attachment 1869683

View attachment 1869684
HANA UBAVU HUYO HATA WAKATI WA MAGUFULI MLISEMA HIVYO HIVYO Je MAGUFULI YUKO WAPI?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Isdor Mpango leo ameweka jiwe la msingi katika Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini - Mtwara lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani eneo la Mitengo Mkoa wa Mtwara.

#KaziIendelee

Source: Wizara ya Afya

View attachment 1869681

View attachment 1869682

View attachment 1869683

View attachment 1869684
Akili za kibongobongo hizi, jiwe la msingi hospital ya rufaa tu eti wapinzan watapoteana 🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom