Chillipo
Member
- Mar 27, 2012
- 37
- 6
Kwa kasi ambayo Chadema wanakwenda nayo hakuna wa kuwazuia kwan jinsi wananchi wanavyowakubali sijapata kuona kwan wakati wa Operation ya M4C n Vua Gamba vaa Gwanda nilikuwepo Mtwara ndugu wa Kusini wenyewe wamekili haijawahi kutokea wingi wa Watu kama waliokuwepo siku ya Mkutano huu.Nadhan wanapaswa kuunza kujipanga kuongoza Tanganyika yetu kwan hakuna wa kuwazuia katika hili 2015.Kama hadi ndugu zangu wa Wamakonde waikubalii Pipozzzzzzzzzzzzzzzzzz who will remain?
Source:
Macho na Masikio yangu yaliyobahatika kuudhuria mkutano wa CDM mtwara
Source:
Macho na Masikio yangu yaliyobahatika kuudhuria mkutano wa CDM mtwara