kwa kanda ya ziwa na maziwa makuu tu

mmh

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
2,910
5,081
mheshimiwa wakili msomi Tundu lisu raisi wa TLS na mwanasheria Mkuu wa chadema na mbunge wa singida mashariki hivi karibuni amekuwa akiwaelekeza mahali kwenu pa kwenda kisiasa. naamini mmemuelewa. msing'ang'anie sehemu msiyotakiwa. na uzuri ni kwanda number don't lie na nyie ndo huwaga decision vote.


Tafadhari moderator:
Tabia ya kuhold nyuzi zangu sio fair, Uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe. demokrasia.
 
mheshimiwa wakili msomi Tundu lisu raisi wa TLS na mwanasheria Mkuu wa chadema na mbunge wa singida mashariki hivi karibuni amekuwa akiwaelekeza mahali kwenu pa kwenda kisiasa. naamini mmemuelewa. msing'ang'anie sehemu msiyotakiwa. na uzuri ni kwanda number don't lie na nyie ndo huwaga decision vote.


Tafadhari moderator:
Tabia ya kuhold nyuzi zangu sio fair, Uhuru wa kutoa maoni lazima uheshimiwe. demokrasia.
JF 'WHERE WE DARE TO TALK OPENLY'

Sikiliza Toka Kwangu!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom