Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Kama kawaida Magufuli mzee wa game changer tayari ameshaibuka kudedea tena
Huu mkataba mpya wa madini baada ya mabeberu kusarenda sasa Watanzania tutaanza kufaidi raslimali zetu
Now ni pasu kwa pasu hakuna tena mambo ya 3%
Wananchi wanaoishi karibu na migodi hamtaachiwa mashimo tu mtafaidi raslimali zenu
Serkali itakuwa na uwezo wa kuteua mwenyekiti mwenza kuongoza kampuni
Wasaidizi wa Rais wakiongozwa na Mh.kabudi walijifungia muda mrefu wakipambana na mabeberu waliokuwa wanatetewa na baadhi ya Watanzania wasaliti wamefanikiwa kumshinda beberu ndani na nje ya Mahakama
Magufuli usichoke Mkuu...
Naamini na wachina ipo siku utawaita mezani warekebishe hiyo mikataba ya kilaghai na unyonyaji kuhusu gas yetu kule kusini
Niwatakie Dominika njema ya 24 ya Mwaka C
Huu mkataba mpya wa madini baada ya mabeberu kusarenda sasa Watanzania tutaanza kufaidi raslimali zetu
Now ni pasu kwa pasu hakuna tena mambo ya 3%
Wananchi wanaoishi karibu na migodi hamtaachiwa mashimo tu mtafaidi raslimali zenu
Serkali itakuwa na uwezo wa kuteua mwenyekiti mwenza kuongoza kampuni
Wasaidizi wa Rais wakiongozwa na Mh.kabudi walijifungia muda mrefu wakipambana na mabeberu waliokuwa wanatetewa na baadhi ya Watanzania wasaliti wamefanikiwa kumshinda beberu ndani na nje ya Mahakama
Magufuli usichoke Mkuu...
Naamini na wachina ipo siku utawaita mezani warekebishe hiyo mikataba ya kilaghai na unyonyaji kuhusu gas yetu kule kusini
Niwatakie Dominika njema ya 24 ya Mwaka C