johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,548
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo alikuwa ziarani wilayani Sengerema ndipo mbunge wa jimbo hilo mh Tabasamu akamchongea mkurugenzi Magesa kwa matumizi mabaya ya ardhi pamoja na fedha za wafadhili.
Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.
chanzo: Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.
Jafo amelikabidhi suala hilo Takukuru.
chanzo: Clouds tv
My take; Kama wabunge wa CCM walipendelewa na wakurugenzi wakati wa uchaguzi kwanini Tabasamu amgeuke Magessa!
Maendeleo hayana vyama.