MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Tena nahisi huenda leo Yanga SC ikapata Karamu Kubwa (Ushindi Mnono) dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Mchezo wao dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya.
Wewe achana na lamli za kipuuzi unaanza kutafuta pa kujifichia mapema eti, mpira auko ivyo kama unavyofikilia acha dk 90 ziamue uwanjani sio maneno manenoTena nahisi huenda leo Yanga SC ikapata Karamu Kubwa ( Ushindi Mnono ) dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Mchezo wao dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya.
Prove your allegations.Biashara imeshafanyika mkwepa kodi ameshamalizana na Mbeya Kwanza,goli nyingi wanatundikwa hao washamba
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Is grass green? Why ask for the obvious?Prove your allegations.
Sisi Mashabiki wa mnyama anayeogopwa na wanyama wote porini, tunasubiria ndoo yetu tuichuke kwa mara ta TANO mfululizo mwaka huu. Hao Utopolo waache waendelee kuruka ruka tu! Wana maneno mengi yasiyo na tija!Tena nahisi huenda leo Yanga SC ikapata Karamu Kubwa ( Ushindi Mnono ) dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Mchezo wao dhidi ya Mbeya Kwanza FC katika Uwanja wa Sokoine Mkoani Mbeya.