Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Wakuu baada ya kutafakari kwa Kina na Kazi kubwa iliyofanywa na Rais Magufuli kwa Miaka 5 mi binafsi nahamia CCM, naomba CHADEMA wenzangu Mniunge mkono huku niendako.
Yale tuliyokua tunayapigia Kelele kwa miaka yote sasa yamekua yanatakelezeka chini ya Mheshimiwa Magufuli Sina Sababu ya kumpinga kwa sasa ampingaye ana lake Jambo vijana wenzangu twendeni na Magufuli 2020.
Mni PM namba zenu tutengeneze Group!
Yale tuliyokua tunayapigia Kelele kwa miaka yote sasa yamekua yanatakelezeka chini ya Mheshimiwa Magufuli Sina Sababu ya kumpinga kwa sasa ampingaye ana lake Jambo vijana wenzangu twendeni na Magufuli 2020.
Mni PM namba zenu tutengeneze Group!