Kwa jinsi hali ilivyo Tripoli, CHADEMA acheni maandamano

President Elect

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
693
212
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.

CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.

Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
 
Mbona hukutaja Tunisia na Misri? Au hizo hukuziona kuwa zilifanya mapinduzi ya maandamano?
 
Gadaffi aliuwa wangapi? na wate aliowauwa walikuwa na hatia?

Gadafi alitakiwa kabisa kuondoka madarakani, lakini kuondoka kwake si tu kumeleta maafa makubwa pamoja na watu kuteza maisha bali Africa tumeaibika vibaya. If I had my way, AU inatakiwa ivunjwe kabisa kila mtu aende nyumbani until further notice.
 
Mbona sijaokota hata point kwenye thread yako ? ulitaka kueleza nini , maana sioni kitu hapo
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
 
Magwanda hawana uwezi tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.

vipi ulitoka lini hospitali, kapumzike , naona maralia yako ilikuwa kali mno
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.

Mkuu, wewe unafurahia watu kuuawa eeh?! Ama kweli kua mwanangu uyaone!
 
nakumbuka wakati wa vita vya kagera wamiliki wa mabasi walitakiwa kutoa mabasi yao kwa hiari ili yasaidie kupeleka wanajeshi wetu mstari wa mbele, waliokataa hawakuchukuliwa hatua mbaya, bali walinyimwa vibali vya kununua mabasi mapya maisha yao yote, hatua hiyo inafaa kuboreshwa kwa manufaa ya taifa na vizazi vijavyo.
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
baada ya Mfalme Gadafi kunyonyolewa manyoya yote sasa mmekaa kimya?
 
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.<br />
<br />
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.<br />
<br />
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
<br />
<br />
Crappppp
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
Amani gani unayozungumzia? A false peace ambako Kikwete na familia yake wanatumia unyonge wetu kujitajirisha? Unazungumzia amani gani?
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
unaongea kama nani?wewe na nani?nchi siyo ya kwenu pekee,taratibu na kauli zenu!kama ni amani ya mafisadi nina uhakika machalii wa A town watakua tayari kuiharibu endeleeni na chokochoko tu.taratiiiiiiiiiiiiiibu watanzania washaanza kuzoea suluba with time watasema basi kitakachofuata ni kibaya kuliko kile kilichotokea libya.
 
Kawaeleze ccm kwamba waache kuiba mali za umma,waache kuuwa watu bila makosa,waache kulindana na watuachie nchi yetu hatuwataki.
 
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
hawa si ndio vinara wa ufisadi!umejiuliza wahanga wa umasikini,maradhi na ukosefu wa elimu ni raia wenye asili ya wapi?kama sisi(wandengereko) tumekubali kuwa wahanga wa ufisadi sasa kwa nini una wasiwasi na wahindi baada ya maandamano.
 
unaongea kama nani?wewe na nani?nchi siyo ya kwenu pekee,taratibu na kauli zenu!kama ni amani ya mafisadi nina uhakika machalii wa A town watakua tayari kuiharibu endeleeni na chokochoko tu.taratiiiiiiiiiiiiiibu watanzania washaanza kuzoea suluba with time watasema basi kitakachofuata ni kibaya kuliko kile kilichotokea libya.
<br />
<br />
Magamba karibia watamwaga MBOGA na nguvu ya Umma watamwaga UGALI.
 
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.<br />
<br />
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.<br />
<br />
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
<br />
<br />
Wewe unadhani uhuru wa kweli unakuja bila kumwaga damu pia maandano ya cdm ni ya amani
 
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.<br />
<br />
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.<br />
<br />
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
<br />
<br />
Nakusikitikia kwa kutowaona ndugu zako wanaouawa kule mara,arusha lkn umewaona wale wanaofia haki wa libya kwani wewe unafikili kuna haki duniani inapatikana bila ya damu kumwagika kama mtume alipigana vita vya JIHAD yesu alimwaga damu msalabani ili kuzisimamisha DINI zetu zilipo sasa mfano mdogo tu znz damu za wapemba zimemwagika na sasa wapo walipo. We vip?
 
Magwanda hawana uwezo tutahakikisha tunawasuilubu kila wanapojaribu kutuchafulia amani yetu. Kama walivyofanywa Arusha na watakapojaribu tena itakuwa ni mara 100 ya ile.
Naona unatafuta publicity.......Nyie kwa kauli za kifedhuli ndio maana TZ iko hv hadi leo.
 
Back
Top Bottom