President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Watu wasio na hatia wanauawa ovyo jijini Tripoli. Chanzo cha haya yote ni maandamano yaliyoanza takribani miezi sita iliyopita.
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.
CHADEMA wajifunze kutokana na maafa yanayoikumba Libya hivi sasa. Amani imetoweka, na kila kona ya nchi ni shida tupu. Raia wa kigeni, hasa waafrika wanauawa kwa kisingizio kwamba, eti walikuwa ni sehemu ya majeshi ya kukodiwa ya Ghadafi.
Hapa nchini Tanzania, endapo maandamano ya CHADEMA yatashika kasi, raia wenye asili ya kihindi ambao wanahusishwa zaidi na chama tawala, huenda wakaja kuwa wahanga wakubwa wa ghasia zitakazotokana na maandamano hayo.