Mnara wa nn?Chadema ijenge mnara pale Mbande wilayani Kongwa mkoani Dodoma!
Ikiwa hili unaliamini chadema wote wanahitaji uchunguzi huru kutoka nje kwanini serikali yako inakataa ili waumbuke chadema?Kapewa tonge ili isiwe rahisi kugundua kuwa ni wao waliomshoot.
Watu wengine sijui mnayaona mambo kwa jicho moja? Tena pengine lipo nyuma. Kama uchaguzi was SM mmeanguka na kuzuia 94% wasishiriki ili mjitangazie ushindi bado huelewi kuwa kama wizi wenu ukidhibitiwa uchaguzi hata 20% hamuambulii?Mbowee ameshastuka jahazi la chadema kinaenda kuanguka uchaguzi ujao..Sasa kaona atafute mti wa kufa nae
Bakini na njozi zenu, Chadema inasonga mbele pamoja na nguvu kubwa ya dola ife na chuki za wazi za JiweHata Lissu atakuja kufukuzwa Chadema,Mbowe hawezi kuuchoka uenyekiti labda kusiwe na ruzuku
Dada una maneno kweli wewe. Hivi siku ile pale kwenye Mashindano ya Mabaunsa si uliteseka sana? Nilikuwa nakuchora tuHata Lissu atakuja kufukuzwa Chadema,Mbowe hawezi kuuchoka uenyekiti labda kusiwe na ruzuku
Hahahah jomba sasa watu wawachague kwa Sera ipi hasa ambayo mmeshaonyesha matokeo yake mpaka Sasa...Kama ni vipngozi wakubwa wanawakimbia, hamuonyeshi welekeo wowote mpo mpo tu..mnatia aibu Sana..Watu wengine sijui mnayaona mambo kwa jicho moja? Tena pengine lipo nyuma. Kama uchaguzi was SM mmeanguka na kuzuia 94% wasishiriki ili mjitangazie ushindi bado huelewi kuwa kama wizi wenu ukidhibitiwa uchaguzi hata 20% hamuambulii?
Sasa hivi wenyeviti was mitaa na vijiji mliowapitisha wameanza kuacha wenyewe kwa kukosa ushirikiano na kwingine wameambulia kipigo
Wa kumbukumbu!Mnara wa nn?
Atakiacha chama gani?!Halafu kuna watu wanakuja hapa na kupiga kelele, Mbowe anaakili sana na ni mtulivu sana ana sifa zote za kiuongozi, pamoja na kuwa Lissu ni msomi mzuri lakini naamini akiwa chini ya Mbowe atajifunza zaidi Hekima, uvumilivu na Busara za Kaka yake Mbowe, hivyo atakuwa amekiacha chama salama..wapiga kelele wote ipo siku watajua najua wanajua lakini watakujua zaidi baadaye.
Hata Chacha Wangwe walisemaga hivyo hivyo!