kunena
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 506
- 711
Unapokua na challenge kwenye masuala ya mahusiano epuka sana ushauri wa wanawake. Kwenye huu uzi wanawake wamekushauri katika angle ya wivu tu. Nakushauri kama shemeji amekupa mating signal we mfumue kwa siri sana na usilete mazoea nae after there, hata yeye hatapenda siri hii ivuje sababu anapambania ndoa yake kinachomsumbua hapo ni nyege tu. Tom.ber mkuu