Kwa huyu kocha mpya Simba SC imelamba dume

karv

JF-Expert Member
Dec 26, 2019
1,799
3,221
Majira ya saa 2 usiku Pablo Franco atambulishwa kuwa kocha mpya wa mabingwa wa nchi Simba sc club

Binafsi moja kwa moja nikaangakia CV zake nikaona inavutia achana na kuwa kocha msaidizi wa Real Madrid na Getafe lakini kwa takwimu za klabu yake ya sasa huko kuwait inavutia

Katika mechi 18 amefungwa mbili kashinda 10 na sare 6 na ni wapili kwenye msimamo kama mnavyoona hapo chini kwenye picha

Kama mazingira na vitu vingine havitaadhiri utendaji wake wa kazi basi simba itakuwa imepata bonge la kocha

Mshahara wake wa mwezi mmoja unamlipa Nani miezi 6 View attachment 2001334
FB_IMG_16362252503526464.jpg


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ila hajawahi kushinda Kombe lolote lile la Ligi ambazo amewahi kushiriki.
 
Cha Ajabu zaidi hakuna sehemu ambako amedumu zaidi ya misimu miwili.
 
Kinachoshamgaza zaidi kama angekuwa kocha mzuri basi hata asingekubali kuacha mshahara mkubwa kutoka Al Quadisiya ili aje kulipwa milioni 21 huku Bongo.
 
Ila hajawahi kushinda Kombe lolote lile la Ligi ambazo amewahi kushiriki.
Sii Uchebe wala Kishingo waliokuja Simba kwasababu ya historia za walipotoka, hawakua na mafanikio yeyote as coaches walipotoka , Gomez pekee ndio kaja na CV ya maana

Simba tayari inajitosheleza yenyewe as Club, kuwa tu kocha hapo una 75% za kufanikiwa , juhud zako kidogo unashusha makombe ya kutosha
 
Kwa sababu hajawahi shiriki ligi dhaifu kama Yetu.....
Amewahi kufundusha SABURTALO timu kutoka nchini Georgia.

Ligi ya Georgia ni dhaifu kuliko Ligi Kuu Tanzania. Na bado hakufanikiwa kushinda Ligi zaidi ya kunusurika kuishusha Daraja Saburtalo.

Aliajiliwa mwezi wa 3 na akafukuzwa mwezi wa 12.
 
Kinachoshamgaza zaidi kama angekuwa kocha mzuri basi hata asingekubali kuacha mshahara mkubwa kutoka Al Quadisiya ili aje kulipwa milioni 21 huku Bongo.
14,000 x 2300 =32,200,00.

Usipotoshe kila kitu kwa kujitekenya
 
Sii Uchebe wala Kishingo waliokuja Simba kwasababu ya historia za walipotoka, hawakua na mafanikio yeyote as coaches walipotoka , Gomez pekee ndio kaja na CV ya maana

Simba tayari inajitosheleza yenyewe as Club, kuwa tu kocha hapo una 75% za kufanikiwa , juhud zako kidogo unashusha makombe ya kutosha
Una maanisha ubora wa kocha sio muhimu.

Man UTD inajitosheleza kwa rasilimali za aina zote.

Kwanini Ole Gunner ajafanikiwa kuweza 'juhudi kidogo' ili naye ashushe makombe OT.

Frank Lampad vs Chelsea.
Pocchetino vs PSG last season.
 
Amewahi kufundusha SABURTALO timu kutoka nchini Georgia.

Ligi ya Georgia ni dhaifu kuliko Ligi Kuu Tanzania. Na bado hakufanikiwa kushinda Ligi zaidi ya kunusurika kuishusha Daraja Saburtalo.

Aliajiliwa mwezi wa 3 na akafukuzwa mwezi wa 12.
Aloooo.....
Pole mzeee
 
Una maanisha ubora wa kocha sio muhimu.

Man UTD inajitosheleza kwa rasilimali za aina zote.

Kwanini Ole Gunner ajafanikiwa kuweza 'juhudi kidogo' ili naye ashushe makombe OT.

Frank Lampad vs Chelsea.
Pocchetino vs PSG last season.
Ole sio wa kwanza hapo OT

Kapita Jose Mourinho kapita LVG , makocha wenye CV zao

Ni mjinga mmoja tu anaeweza questions uwezo wa kocha ambae amekua kocha mkuu club inayocheza Laliga na pia amekua kocha msaidiz club bora ya dunia kufundisha Simba sc , ni kapuuz kamoja tu ndio kanaweza simama mbele za watu kuongea huo ujinga
 
Ole sio wa kwanza hapo OT

Kapita Jose Mourinho kapita LVG , makocha wenye CV zao

Ni mjinga mmoja tu anaeweza questions uwezo wa kocha ambae amekua kocha mkuu club inayocheza Laliga na pia amekua kocha msaidiz club bora ya dunia kufundisha Simba sc , ni kapuuz kamoja tu ndio kanaweza simama mbele za watu kuongea huo ujinga
Kocha wenu mpya amepitia timu tofauti tofauti 12.

Je kama ni kocha Bora ametwaa taji gani ndani ya hizo timu 12 alizopitia?

Lopetegui alipokuja Real Madrid akamkuta huyu mwana.

Akaandika barua kwa rais ili jamaa asepeshwe mara moja Jamaa hakumaliza miezi 3 akafukuzwa.
 
Back
Top Bottom