Sasa kweli waungwana mnamuweka huyu swahiba kundi moja na akina mshana jr na MziziMkavu?
Najiuliza na wakati wa kulala sijui inakuwajeNope. Jamaa yupo makini tu anajilinda. Sijui akitaka kuoga anavua huu mzigo au anaoga nao? Kazi kweli kweli!
Nadhani dish litakuwa limecheza kidogo.
Huyu sio mwendawazimu kweli huyu?
Angekuwa amejaza mamisalaba na marozali napo ungesema ni utumwa mkuu? I am just curious...utumwa huuuu
Bima za AFYA.analinda nn sasa maana ni maskini asiye na chochote au analinda uhai wake tuu ila duuuuuuh hatar
Hakuna kuvua. Maana wanga wengi ndiyo mida yaoNajiuliza na wakati wa kulala sijui inakuwaje
umejuaje mkuu kama hana chochote "usimudharau usiye mjuaanalinda nn sasa maana ni maskini asiye na chochote au analinda uhai wake tuu ila duuuuuuh hatar
Nani kakuambia tunaruhusiwa kuoga? Hiyo imeisha hivyo. Unaoga siku unavalishwa tu. Kuoga tena ni mpaka nguvu ipungue.Nope. Jamaa yupo makini tu anajilinda. Sijui akitaka kuoga anavua huu mzigo au anaoga nao? Kazi kweli kweli!