Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,603
Ni kweli mkuu😅Kama upo vizuri kiuchumi usiwaumiZe wenzio kumbuka kuna leo na kesho hujui kesho yako. Mungu akisema nyuma geuka ndo utajua nini namaanisha.
Ni kweli mkuu😅Kama upo vizuri kiuchumi usiwaumiZe wenzio kumbuka kuna leo na kesho hujui kesho yako. Mungu akisema nyuma geuka ndo utajua nini namaanisha.
Tozo la mihamalaNi kitu gani kimechangia mfumuko wa bei. Ni Mzunguko wa pesa umeongezeka au bei ya mafuta?
CCM wanaandaa maandamo kumpongeza Mhe Rais kwa kudhibiti mfumoko wa beiKila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Haya majangili hayasikii chochoteNi muda muafaka sasa kutokemeza hili genge la wahali fu sugu wa nchini
Siasa ni mchezo wa zamani sanaa yaaani unawasha moto uchome jengo unazunguka kwa nyuma unaenda kupiga mayowe nyumba inaungua halafu unajumuika kuzima tena uleule moto uliouwasha.Sahizi hatuwezi dangaywa tena.CCM wanaandaa maandamo kumpongeza Mhe Rais kwa kudhibiti mfumoko wa bei
Kodi inachangiaje mfumuko wa bei?Tozo la mihamala
Mtafanya nini sasa? katiba mbovu sn hiiT
Siasa ni mchezo wa zamani sanaa yaaani unawasha moto uchome jengo unazunguka kwa nyuma unaenda kupiga mayowe nyumba inaungua halafu unajumuika kuzima tena uleule moto uliouwasha.Sahizi hatuwezi dangaywa tena.
Turudi kwenye mihogo tuwaachie sponji zao. Haya madawa ya kufanya sponj yatatuuaNa mkate umepunguzwa uzito, ila ujazo ni ule ule (sponji kavu), kwa buku ile ile. Vibaraka wanachekelea, kama vile watakalia hayo mamlaka milele.
Huenda kweli maana bei zimepandà hakuna wa kukemea,malope kupewa wizara tu umeme hakuna na ukame juu safari hii ndiyo tutakoma nasikia watakula Hadi 2030 Mungu ndiyo anajua.Mji wa msimbe huu kwa sasa
Ila mkate standard unatakiwa uwe gram 500 yaani nusu kilo.Na mkate umepunguzwa uzito, ila ujazo ni ule ule (sponji kavu), kwa buku ile ile. Vibaraka wanachekelea, kama vile watakalia hayo mamlaka milele.
Bei za vyakula ni sababu ya kuwepo kwa ukame na ongezeko la bei ya mafuta.Ni kitu gani kimechangia mfumuko wa bei. Ni Mzunguko wa pesa umeongezeka au bei ya mafuta?
Kila tatizo ni fursa, tunapaswa tuzitumie fursa zinazotokana na "mfumuko wa bei" kuzifanya mafanikio.Kila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Sahivi wanajificha kwenye vita ya UkraineKila kitu holela, bidhaa aina zote bei juu na ni ndani ya muda mchache sana, serikali imeshindwa kazi, ijiuzulu.
Mwaka jana pamoja na kovidi kutisha kwa kiwango cha hali ya juu hatukuwa na mfumuko wa bei kiwango cha sasa.
Inaonekana Serikali tayari mikononi mwa walanguzi
Kweli tupuSamia Suluhu hasan hajafikia viwango vya kiuongozi vinavyotakiwa ndio maana taifa linaendelea kwenye uholela zaidi.