OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,171
- 103,637
Nchi na dunia nzima imejua matumizi ya nguvu anayotumia Rais Magufuli katika kutatua changamoto za kisiasa na kiuchumi
Ninatafakari ikiwa mgogoro kisiasa wa Zanzibar ukiamka tena leo,sipati majibu itakuweje
Mgogoro wa kisiasa Zanzibar uliopandikizwa makusudi na viongozi wenye uchu wa madaraka wasiojali maamuzi ya watu, wenye tamaa ya kubaki kwenye madaraka pasi na uwezo wala uthubutu wa kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.
Katika bunge 2005 JK aliwahi kuahidi kuwa ataushughulikia mgogoro wa Zanzibar. Akaitisha vikao Bagamoyo kwa miezi isiopungua 14. Akiwa Mwenyekiti wa CCM kazi yote iliyofanywa na viongozi wa CCM na CUF kwa kutumia fedha za wananchi maskini wa Tanzania, ikadharauliwa. Kikao cha Butiama kikakataa proporsal ya timu ya mazungumzo. Very simple!
Katika miaka yake kumi JK ameondoka mgogoro wa kisiasa Zanzibar ukiwa ni mbaya zaidi ama sawa na mwanzo alipoingia.
Sasa huyu anko yakiibuka atayabebea mbeleko gani.
Ninatafakari ikiwa mgogoro kisiasa wa Zanzibar ukiamka tena leo,sipati majibu itakuweje
Mgogoro wa kisiasa Zanzibar uliopandikizwa makusudi na viongozi wenye uchu wa madaraka wasiojali maamuzi ya watu, wenye tamaa ya kubaki kwenye madaraka pasi na uwezo wala uthubutu wa kuleta maendeleo ya kweli kwa wananchi.
Katika bunge 2005 JK aliwahi kuahidi kuwa ataushughulikia mgogoro wa Zanzibar. Akaitisha vikao Bagamoyo kwa miezi isiopungua 14. Akiwa Mwenyekiti wa CCM kazi yote iliyofanywa na viongozi wa CCM na CUF kwa kutumia fedha za wananchi maskini wa Tanzania, ikadharauliwa. Kikao cha Butiama kikakataa proporsal ya timu ya mazungumzo. Very simple!
Katika miaka yake kumi JK ameondoka mgogoro wa kisiasa Zanzibar ukiwa ni mbaya zaidi ama sawa na mwanzo alipoingia.
Sasa huyu anko yakiibuka atayabebea mbeleko gani.