Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Kufuatia hujuma ya Polisi Kalenga kuzuia helkopita ya Chadema na kuruhusu mesidisi benzi maalumu za ccm, wanachadema tunasema, Mh Mbowe songa mbelee!
Wakikutungua kama walivotaka kukuua Arusha pale Soweto, Hata wao hawataishi milele, ila jina lako, maneno yako harakati zako, zitabaki na kuishi kwa wema na haki milele, kuliko wao wakifa watasahaulika kama mizonga.
Hongera our CHAIRMAN FREEMAN MBOWE, Kamwe hatutorudi nyuma. We shall overcome
Wakikutungua kama walivotaka kukuua Arusha pale Soweto, Hata wao hawataishi milele, ila jina lako, maneno yako harakati zako, zitabaki na kuishi kwa wema na haki milele, kuliko wao wakifa watasahaulika kama mizonga.
Hongera our CHAIRMAN FREEMAN MBOWE, Kamwe hatutorudi nyuma. We shall overcome