kimeta cha ufisadi
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 398
- 70
Muda mfupi ulio pita mhe, Membe amemaliza kutoa mchango wa wizara yake ulio tokana na Taarifa ya kamati ya mhe, Lowasa. Maneno aliyo kuwa akiyatumia mhe, Membe ni ya kidiplomasia ya khali ya juu imewagusa wabunge, wananchi wa kawaida na mataifa ya majirani zetu. Gooooo Membeeeee