mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,346
- 2,775
Yaani hawa jamaa akili zao sijui huwa wanazisahau wapi....? Wao kwakukosa busara walivuruga mchakato mzima wa katiba mpya eti kisa muungano. Utazani shida ya katiba yetu ni muungano peke. Kiukweli ni watu wakupuuza tu... wanachoongea sio wanachomaanisha.Magufuli hakuahidi katiba mpya period!!
Jk Aliwaletea mchakato mkaanzisha chama cha siasa ...UKAWA...
Hapa ni Kazi tu...msitafute hela za vikao visivyo na tija.