Kwa hoja ya Rais Mama Samia, ninadhani hoja ya Dkt. Kigwangalla tulitumia rungu kumdhibiti

Elius W Ndabila

JF-Expert Member
Jul 17, 2019
322
645
KIGWANGALA alitoa hoja ya namna anavyodhani tunaweza kukabiliana na corona kwa sasa. Kwenye hoja zake alisema haoni hata umuhimu wa tanuru la kujivukiza pale hospitali ya Mhimbili.

Wakati wa uchangiaji wa hoja ya Mhe Kigwangala wengi walimshambulia personal na kusema kuwa kwa nini hakushauri kwenye baraza? Lakini ukweli kuwa mabaraza yetu hoja zinaenda kwa majorities, ukishauri jambo lisipoungwa na wengi linakuwa limejifia na utalazimika kuwaunga wengi.

Sasa tukija kwenye hoja ya Mhe Rais ya leo juu ya Covid 19, kwanza amesema Tanzania siyo kisiwa. Amesema Kama duniani kote ripoti zinatolewa na kila siku Tanzania ni deshi haipendezi, lazima tujulikane tuko wapi. Akasisitiza kwa kusema ataunda timu ya Wataalamu ambao watafanya utafiti juu ya Covid 19 ili Kama Taifa tuangalie njia ya kwenda nayo.

Kwa statement hii ya Mhe Rais inaonyesha sasa ni wakati wa Tanzania kuungana rasimi na mapambano haya Kama ilivyo duniani kote au kuamua rasimi Kama Taifa kutumia njia zetu kukabiliana na janga hili. Matokeo ya tume ndiyo yatatoa dira ya taifa.

Lakini hata hivyo statement inaonyesha sasa rasimi corona ipo.

Kigwangala angesikilizwa badala ya kumshambulia. Kigwangala alitoa mawazo huru ambayo pengine kwenye baraza hayakusikilizwa akaona ayaseme sasa kwa kuwa habanwi na Uwaziri.
 
Tatizo la kingwangala sio Yale maneno! Tatizo ni ule unafki wa kumuunga mkono jiwe kuhusu Nyungu! Jiwe kameza moto anajifanya hataki tena Nyungu! Angekua na msimamo mmoja! Kama ni Nyungu Nyungu au kama Science basi Science! Ila yeye anaangalia Jiwe anapiga mziki gani ndo anacheza!

"Acheni Unafki!! Nasema Acheni unafki"(Kwa Sauti ya Bashe)
 
Kingwa hajabishiwa tatizo ni kauli zake za kinafiki na kuzandiki za kipindi kile cha baba janet huyu kingwa ndio aliesema nyungu ni bora kuliko tiba na mapambano ya mabeberu je leo nini kimemfanya aipinge kauli yake?? Je hayati asingekufa kingwa angeyasema hayo?? Kingwa ni mlia tumbo
 
KIGWANGALA alitoa hoja ya namna anavyodhani tunaweza kukabiliana na corona kwa sasa. Kwenye hoja zake alisema haoni hata umhimu wa tanuru la kujivukiza pale hospitali ya Mhimbili. Wakati wa uchangiaji wa hoja ya Mhe Kigwangala wengi walimshambulia personal na kusema kuwa kwa nini hakushauri kwenye baraza? Lakini ukweli kuwa mabaraza yetu hoja zinaenda kwa majorities, ukishauri jambo lisipoungwa na wengi linakuwa limejifia na utalazimika kuwaunga wengi.

Sasa tukija kwenye hoja ya Mhe Rais ya leo juu ya Covid 19, kwanza amesema Tanzania siyo kisiwa. Amesema Kama duniani kote ripoti zinatolewa na kila siku Tanzania ni deshi haipendezi, lazima tujulikane tuko wapi. Akasisitiza kwa kusema ataunda timu ya Wataalamu ambao watafanya utafiti juu ya Covid 19 ili Kama Taifa tuangalie njia ya kwenda nayo.

Kwa statement hii ya Mhe Rais inaonyesha sasa ni wakati wa Tanzania kuungana rasimi na mapambano haya Kama ilivyo duniani kote au kuamua rasimi Kama Taifa kutumia njia zetu kukabiliana na janga hili. Matokeo ya tume ndiyo yatatoa dira ya taifa.

Lakini hata hivyo statement inaonyesha sasa rasimi corona ipo.

Kigwangala angesikilizwa badala ya kumshambulia. Kigwangala alitoa mawazo huru ambayo pengine kwenye baraza hayakusikilizwa akaona ayaseme sasa kwa kuwa habanwi na Uwaziri.
Issue ya Kigwangalla kushambuliwa na wananchi siyo kwa dhana kama ulivyoieleza, ameshambuliwa kwani alijitokeza hadharani/mitandaoni kuunga mkono kujifukiza, tena aliandika kwa kina kwanini hakubali chanzo na alisema wazi. Hivyo kwa upande wa Rais Samia ni case nyingine, licha ya kuonyesha msimamo wake juu ya gonjwa hili , yeye HAKUWAHI AIDHA KUANDIKA/KUZUNGUMZA SEHEMU YOYOTE ILE JUU YA KUJIFUKIZA,!

Mh Rais anaunga mkono sera za Hayati ikiwa ni pamoja na kutovaa barakoa ndio maana hata leo anasimama upande wa Hayati wa kutovaa barakoa wakati mwenzake Kigwangalla aliyejionyesha wazi hadi leo anavaa barakoa , lakini hata katika mazungumzo yake amejaribu ku neutralize kwani kuna wengi wanasubiri msimamo wake kama Rais, kwahiyo kwangu naona hapo ndo kuna utofauti wao.

Tunacholalamika kwa Kigwangalla ni unafiki wake wa hali ya juu, rejea pia posts zake leo mitandaoni nimesoma nikaishia kushangaa tu, duniani kuna watu wanafiki sana!!
 
KIGWANGALA alitoa hoja ya namna anavyodhani tunaweza kukabiliana na corona kwa sasa. Kwenye hoja zake alisema haoni hata umhimu wa tanuru la kujivukiza pale hospitali ya Mhimbili. Wakati wa uchangiaji wa hoja ya Mhe Kigwangala wengi walimshambulia personal na kusema kuwa kwa nini hakushauri kwenye baraza? Lakini ukweli kuwa mabaraza yetu hoja zinaenda kwa majorities, ukishauri jambo lisipoungwa na wengi linakuwa limejifia na utalazimika kuwaunga wengi.

Sasa tukija kwenye hoja ya Mhe Rais ya leo juu ya Covid 19, kwanza amesema Tanzania siyo kisiwa. Amesema Kama duniani kote ripoti zinatolewa na kila siku Tanzania ni deshi haipendezi, lazima tujulikane tuko wapi. Akasisitiza kwa kusema ataunda timu ya Wataalamu ambao watafanya utafiti juu ya Covid 19 ili Kama Taifa tuangalie njia ya kwenda nayo.

Kwa statement hii ya Mhe Rais inaonyesha sasa ni wakati wa Tanzania kuungana rasimi na mapambano haya Kama ilivyo duniani kote au kuamua rasimi Kama Taifa kutumia njia zetu kukabiliana na janga hili. Matokeo ya tume ndiyo yatatoa dira ya taifa.

Lakini hata hivyo statement inaonyesha sasa rasimi corona ipo.

Kigwangala angesikilizwa badala ya kumshambulia. Kigwangala alitoa mawazo huru ambayo pengine kwenye baraza hayakusikilizwa akaona ayaseme sasa kwa kuwa habanwi na Uwaziri.
Labda Kigwangala alikuwa bogeyman alitangulizwa tu halafu leo ndo msumari ugongwe mi naona wafanye kazi mwendazake kisha enda kama wako sahihi kuliko yeye tutaona action speaks louder than wordna uongozi ni action
 
KIGWANGALA alitoa hoja ya namna anavyodhani tunaweza kukabiliana na corona kwa sasa. Kwenye hoja zake alisema haoni hata umhimu wa tanuru la kujivukiza pale hospitali ya Mhimbili. Wakati wa uchangiaji wa hoja ya Mhe Kigwangala wengi walimshambulia personal na kusema kuwa kwa nini hakushauri kwenye baraza? Lakini ukweli kuwa mabaraza yetu hoja zinaenda kwa majorities, ukishauri jambo lisipoungwa na wengi linakuwa limejifia na utalazimika kuwaunga wengi.

Sasa tukija kwenye hoja ya Mhe Rais ya leo juu ya Covid 19, kwanza amesema Tanzania siyo kisiwa. Amesema Kama duniani kote ripoti zinatolewa na kila siku Tanzania ni deshi haipendezi, lazima tujulikane tuko wapi. Akasisitiza kwa kusema ataunda timu ya Wataalamu ambao watafanya utafiti juu ya Covid 19 ili Kama Taifa tuangalie njia ya kwenda nayo.

Kwa statement hii ya Mhe Rais inaonyesha sasa ni wakati wa Tanzania kuungana rasimi na mapambano haya Kama ilivyo duniani kote au kuamua rasimi Kama Taifa kutumia njia zetu kukabiliana na janga hili. Matokeo ya tume ndiyo yatatoa dira ya taifa.

Lakini hata hivyo statement inaonyesha sasa rasimi corona ipo.

Kigwangala angesikilizwa badala ya kumshambulia. Kigwangala alitoa mawazo huru ambayo pengine kwenye baraza hayakusikilizwa akaona ayaseme sasa kwa kuwa habanwi na Uwaziri.
Kigwangalla ana hoja, ila ishu yake ni unafiki. Kwa nini hakuongea hili kama alivyofanyaga ndungulile enzi hizo. Inakuaje alisupport nyungu enzi hizo walati jpm yupo mara baada ya jpm kufariki anakana maneno yake ya zamani?.mama hajawahi toa mzimamo wake rasmi kuhusu covid-19 ila unaweza msoma kwa kumcheki, hana mpango na barakoa.... hoja yake mama ni Tz iwe na msimamo kwa jamii za kimataifa kama wanakubali au wanakataa ma sio kutokueleweka wako upande gani...
 
Tatizo la kingwangala sio Yale maneno! Tatizo ni ule unafki wa kumuunga mkono jiwe kuhusu Nyungu!

wakati watu mmeshupaza shingo kumlaumu kigwangala kwa kuuunga mkono mitazamo hasi ya jiwe kuhusu corona, mtuonyeshe mtendaji yoyote wa serikali aliyesimama peke yake kumpinga.

mkituonyesha, najitoa JF na sirudi tena.
 
Tatizo la kingwangala sio Yale maneno! Tatizo ni ule unafki wa kumuunga mkono jiwe kuhusu Nyungu! Jiwe kameza moto anajifanya hataki tena Nyungu! Angekua na msimamo mmoja! Kama ni Nyungu Nyungu au kama Science basi Science! Ila yeye anaangalia Jiwe anapiga mziki gani ndo anacheza!

"Acheni Unafki!! Nasema Acheni unafki"(Kwa Sauti ya Bashe)
Unapomtazama Kingwangala usimsahau Lipumba, wana element za unafiki uliokubuhu
 
Umesema ukweli, aache unafiki na undumilakuwili, awe mkweli na mwenye msimamo
Tatizo la kingwangala sio Yale maneno! Tatizo ni ule unafki wa kumuunga mkono jiwe kuhusu Nyungu! Jiwe kameza moto anajifanya hataki tena Nyungu! Angekua na msimamo mmoja! Kama ni Nyungu Nyungu au kama Science basi Science! Ila yeye anaangalia Jiwe anapiga mziki gani ndo anacheza!

"Acheni Unafki!! Nasema Acheni unafki"(Kwa Sauti ya Bashe)
 
Naibu waziri Wa afya faustin ndungulile ...

Alisema kujifukiza ni ujingaa..
thubutu yake.

nakumbuka hizo zilikuwa ni tetesi tu kwamba ndungulile hakubariani na msimamo wa rais kuhusu corona.

lini na wapi aliwahi kutoka hadharani na kumpinga jiwe waziwazi?. leta ushahidi hapa. ukileta najitoa jf.
 
Umechambua vizuri na kuonesha jinsi wanafiki walivyo hatari kwa ukinyonga wao
Issue ya Kigwangalla kushambuliwa na wananchi siyo kwa dhana kama ulivyoieleza, ameshambuliwa kwani alijitokeza hadharani/mitandaoni kuunga mkono kujifukiza, tena aliandika kwa kina kwanini hakubali chanzo na alisema wazi. Hivyo kwa upande wa Rais Samia ni case nyingine, licha ya kuonyesha msimamo wake juu ya gonjwa hili , yeye HAKUWAHI AIDHA KUANDIKA/KUZUNGUMZA SEHEMU YOYOTE ILE JUU YA KUJIFUKIZA,!

Mh Rais anaunga mkono sera za Hayati ikiwa ni pamoja na kutovaa barakoa ndio maana hata leo anasimama upande wa Hayati wa kutovaa barakoa wakati mwenzake Kigwangalla aliyejionyesha wazi hadi leo anavaa barakoa , lakini hata katika mazungumzo yake amejaribu ku neutralize kwani kuna wengi wanasubiri msimamo wake kama Rais, kwahiyo kwangu naona hapo ndo kuna utofauti wao.

Tunacholalamika kwa Kigwangalla ni unafiki wake wa hali ya juu, rejea pia posts zake leo mitandaoni nimesoma nikaishia kushangaa tu, duniani kuna watu wanafiki sana!!
 
Tatizo la kingwangala sio Yale maneno! Tatizo ni ule unafki wa kumuunga mkono jiwe kuhusu Nyungu! Jiwe kameza moto anajifanya hataki tena Nyungu! Angekua na msimamo mmoja! Kama ni Nyungu Nyungu au kama Science basi Science! Ila yeye anaangalia Jiwe anapiga mziki gani ndo anacheza!

"Acheni Unafki!! Nasema Acheni unafki"(Kwa Sauti ya Bashe)
Bashe hapo chini aliongea huku analia,ni baada ya wasiojulikana kumteka. Awamu iliyopota watu waliteseka sana
 
Hiyo ndiyo tofauti ya mnafiki Kigwangalla na mwenye kusimamia ukweli Ndugulile
Kigwangalla ana hoja, ila ishu yake ni unafiki. Kwa nini hakuongea hili kama alivyofanyaga ndungulile enzi hizo. Inakuaje alisupport nyungu enzi hizo walati jpm yupo mara baada ya jpm kufariki anakana maneno yake ya zamani?.mama hajawahi toa mzimamo wake rasmi kuhusu covid-19 ila unaweza msoma kwa kumcheki, hana mpango na barakoa.... hoja yake mama ni Tz iwe na msimamo kwa jamii za kimataifa kama wanakubali au wanakataa ma sio kutokueleweka wako upande gani...
 
Kigwa ni misheni town bila unafiki mambo ayaendi kwake.

Leo kaongea ujinga wake kule ila ameblock comments
 
Back
Top Bottom