Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
mimi ni kada kabisa wa ccm lakini leo bungeni imani imenitoka na kesho narudisha kadi
CCM ni janga la kitaifa, sikutegemea kama wangekataa hoja hiyo, eti kisa imetoka chadema, mbona CCM wanakosa uungwana na uzalendo kwa taifa lao kwa kiasi hiki? Mbona CDM wameunga mkono hoja ya Makamba? Kaka rudisha kadi hiki ni chama cha wauwaji!