A Abdul Mganyizi JF-Expert Member Oct 28, 2019 1,044 1,996 Jan 16, 2020 #2 Sahihi mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Jalema JF-Expert Member Oct 26, 2013 593 856 Jan 16, 2020 #3 Nguvu kazi inasubiria bahati badala ya kwenda kulima.Matokeo ya hii kitu yataanza kuonekana baada ya mlongo mmoja tu Sent using Jamii Forums mobile app
Nguvu kazi inasubiria bahati badala ya kwenda kulima.Matokeo ya hii kitu yataanza kuonekana baada ya mlongo mmoja tu Sent using Jamii Forums mobile app
la magica JF-Expert Member Sep 30, 2015 1,802 2,737 Jan 16, 2020 #4 Kwamba vijana wa TZ wanabet kuliko wanaijeria, utafiti huu nna mashaka nao
Chiwaso JF-Expert Member Oct 21, 2009 5,726 3,741 Jan 17, 2020 #5 la magica said: Kwamba vijana wa TZ wanabet kuliko wanaijeria, utafiti huu nna mashaka nao Click to expand... Wajinga ndio waliwao
la magica said: Kwamba vijana wa TZ wanabet kuliko wanaijeria, utafiti huu nna mashaka nao Click to expand... Wajinga ndio waliwao
Old story JF-Expert Member Jul 21, 2018 2,263 2,143 Jan 17, 2020 #6 Hamjui hii kitu ikikuingia dmuni unaweza uza hata demu wako upate hela ya kubet