Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia kuchagua spika, waziri mkuu, na naibu spika imekuwa dhahiri kwamba chadema ndicho chama pekee cha upinzani bungeni. Waliobakia wote ni chama tawala na matawi yake. Ndiyo maana pia sioni tija ya serikali ya umoja wa kitaifa. So boring!
tlp ndio wapinzani......
Except Lyatonga Mrema.
huyu ni kama kinyonga, ndio maana ngozi yake nayo imebadilika rangi!
huyu ni kama kinyonga, ndio maana ngozi yake nayo imebadilika rangi!
huyu ni kama kinyonga, ndio maana ngozi yake nayo imebadilika rangi!
Except Lyatonga Mrema.
huyu ni kama kinyonga, ndio maana ngozi yake nayo imebadilika rangi!