Kwa hiyo M7 kawapa mabeberu mafuta kama zawadi ya kubaki madarakani?

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,879
Hivi hili bara lina laana gani?

Mimi nilidhani Uganda kupata mafuta ndo neema kwa waganda kumbe yanasafirishwa ghafi hadi Ulaya ambapo huko yanaenda kusafishwa kuproccesiwa halaf wanayapaki kwenye vidumu washayalebo wanawaletea waganda kwa kuwauzia kwa lita

Haya mambo tunacheka tu ila yanauma sana,, the same as kenya wamegundua mafuta lakini yote yanaenda kwa mabeberu faida wanabaki nayo mabeberu


Hili ndo lililofanyika kwa gesi ya mtwara ishauzwa na Maccm.........hata bwana yule alivyotaka vile vituo vya kuchenjulia makinikia vijengwe hapa hakua mjinga alishaona lakini mwishowe wakamzidi kete nasikia sahiv yanasafirishwa kama kawaida

Najiuliza hao wanaosaini huu unyonyaji kwanini wasinyongwe ili iwe fundisho?

Same case kwa huyu m7 wa Uganda kawapa mabeberu mafuta sijui kina TOTAL halafu kama zawadi yeye ili aendelee kubaki madarakani


NB(my take)
Mabeberu ni muhimu sana kwa maendeleo yetu na tuwahitaji sana katika maendeleo ila sio kwa jinsi wanavyotunyonya wanatunyonya sana...kunyonywa kupo ila sisi tunanyonywa hadi mifupa....
 
Mfaransa ni beberu anayependa dezo, ujue hata chaguzi zao huwa zinakuwa funded na pesa za viongozi wa Africa, in return beneru anaku promise kubaki madarakani
 
Mlamba wazungu na mvutiwa na sera zao za kinyonyaji ajabu unajifanya hapa eti unachukizwa nao!

JPM alijitahidi kupambana nao ajabu wewe ni baina ya wale ulikuwa unawaomba hao hao unao wasema hapa wamkomoe JPM hakika akili zenu enyi wapinga kila kitu mnazijua wenyewe
 
Ninavyojua Uganda na nchi zote zinazoizunguka haziwezi kutumia mafuta yote watakayokuwa wanazalisha. Hiyo extra ndio inauzwa. Kuna refinery wanajenga ambayo sisi tuna hisa kama 5% nadhani.
 
Iih
Ninavyojua Uganda na nchi zote zinazoizunguka haziwezi kutumia mafuta yote watakayokuwa wanazalisha. Hiyo extra ndio inauzwa. Kuna refinery wanajenga ambayo sisi tuna hisa kama 5% nadhani.
 
Hivi hili bara lina laana gani?

Mimi nilidhani Uganda kupata mafuta ndo neema kwa waganda kumbe yanasafirishwa ghafi hadi Ulaya ambapo huko yanaenda kusafishwa kuproccesiwa halaf wanayapaki kwenye vidumu washayalebo wanawaletea waganda kwa kuwauzia kwa lita

Haya mambo tunacheka tu ila yanauma sana,, the same as kenya wamegundua mafuta lakini yote yanaenda kwa mabeberu faida wanabaki nayo mabeberu


Hili ndo lililofanyika kwa gesi ya mtwara ishauzwa na Maccm.........hata bwana yule alivyotaka vile vituo vya kuchenjulia makinikia vijengwe hapa hakua mjinga alishaona lakini mwishowe wakamzidi kete nasikia sahiv yanasafirishwa kama kawaida

Najiuliza hao wanaosaini huu unyonyaji kwanini wasinyongwe ili iwe fundisho?

Same case kwa huyu m7 wa Uganda kawapa mabeberu mafuta sijui kina TOTAL halafu kama zawadi yeye ili aendelee kubaki madarakani


NB(my take)
Mabeberu ni muhimu sana kwa maendeleo yetu na tuwahitaji sana katika maendeleo ila sio kwa jinsi wanavyotunyonya wanatunyonya sana...kunyonywa kupo ila sisi tunanyonywa hadi mifupa....
Usizungumze kitu usichokielewa ndugu yangu kimsboy. Uganda pale watajenga kiwanda (oil refinery) yenye uwezo wa kurefine 60000 barrels/day of crude oil Kwahiyo sio kwamba mafuta yote yataenda kuuzwa ulaya. Hata uarabuni mafuta(crude oil) inapelekwa ulaya, Marekani, china , Singapore, India, Japan, South Korea etc kwaajili ya refining na kupelekwa mataifa mengine. Uwe unafuatilia au unauliza kabla ya kuandika chochote
 
Usizungumze kitu usichokielewa ndugu yangu kimsboy. Uganda pale watajenga kiwanda (oil refinery) yenye uwezo wa kurefine 60000 barrels/day of crude oil Kwahiyo sio kwamba mafuta yote yataenda kuuzwa ulaya. Hata uarabuni mafuta(crude oil) inapelekwa ulaya, Marekani, china , Singapore, India, Japan, South Korea etc kwaajili ya refining na kupelekwa mataifa mengine. Uwe unafuatilia au unauliza kabla ya kuandika chochote
Kimsboy ni Muwakwama wa kishia a.k.a. Muirani Mweusi anajua kushambulia tu ajui nyuma yake kuna nani... akili zake zimechukuliwa na Ayatollah Kamenei
 
Usizungumze kitu usichokielewa ndugu yangu kimsboy. Uganda pale watajenga kiwanda (oil refinery) yenye uwezo wa kurefine 60000 barrels/day of crude oil Kwahiyo sio kwamba mafuta yote yataenda kuuzwa ulaya. Hata uarabuni mafuta(crude oil) inapelekwa ulaya, Marekani, china , Singapore, India, Japan, South Korea etc kwaajili ya refining na kupelekwa mataifa mengine. Uwe unafuatilia au unauliza kabla ya kuandika chochote
Kwahiyo refinery plant ambayo itakuwa ipo Uganda itanufaishaje Tanzania?
 
Mafuta yatakuwa bei rahisi kwa wateja wa Tanzania au Uganda?

Bandari si ipo kwetu sasa punguzo la bei litakuja vp tofauti na sasa?

Samahani mkuu mi sio mwanauchumi nauliza kwa lengo la kujua tu
 
Back
Top Bottom