nashtushwa sana na waandishi wetu uchwara wa magazeti, yaani asife mtu hasa akiwa msanii utakuta kichwa cha habari kikuuuubwa, FREEMASON INAMALIZA WASANII, kwa jinsi nilivoisoma soma freemasoni inakuwaje mtu awe mwanachama afu vi hela vya kuunga unga, nyumba yenyewe ya kupanga alafu wasijue wanawapa umaarufu hao freemason kiasi kwamba hadi inafikia vijana wengi watakata tamaa ya kutafuta na kuona suluhu ya kupata fedha ni kujiunga na hao jamaa....., jamii yetu itangamia... waaandishi wa magazeti wakaguliwe elimu yao kama TCU, inavokagua vyetu vya walimu wanaostahili kufundisha vyuoni