Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 102
Wote tunafahamu yakwamba kwa sasa Zanzibar ni Nchi kamili inayojitegemea hii ni baada yakufanya Mabadiliko Makubwa katika Katiba yao.
Pia kuna Wabunge wengi sana wanaotoka Zanzibar ili kuunda Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mie hawa Wabunge kwakweli kazi yao siielewi zaidi yakutufilisi huku Bara na hakuna Mbunge hata M1 anayetoka Bara kuunda Baraza la wawakilishi.
Kitendo cha Rais kuwapa Wanzibar Wizara zote Nyeti kwa Usalama wa Taifa letu ambako ndipo kuna majeshi yetu na Siri zote za Usalama wa Taifa kinakupa picha gani?
Wizara ya Ulinzi:HUSSEIN MWINYI.
Wizara ya Mambo ya ndani(jeshi la polisi,magereza,idara ya uhamiaji):SHAMSI VUAI NAHODHA.
Pia kuna Wabunge wengi sana wanaotoka Zanzibar ili kuunda Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mie hawa Wabunge kwakweli kazi yao siielewi zaidi yakutufilisi huku Bara na hakuna Mbunge hata M1 anayetoka Bara kuunda Baraza la wawakilishi.
Kitendo cha Rais kuwapa Wanzibar Wizara zote Nyeti kwa Usalama wa Taifa letu ambako ndipo kuna majeshi yetu na Siri zote za Usalama wa Taifa kinakupa picha gani?
Wizara ya Ulinzi:HUSSEIN MWINYI.
Wizara ya Mambo ya ndani(jeshi la polisi,magereza,idara ya uhamiaji):SHAMSI VUAI NAHODHA.