Kwa hisani ya watu wa Fesibuku

TANMO

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
11,467
11,166
PESA INA MAJINA MENGI SANA.
Kwenye ibada inaitwa Sadaka/Zaka,
Msibani inaitwa Rambirambi,
Shuleni inaitwa Ada au Karo,
Kwenye Vyombo Vya Usafiri inaitwa Nauli,
Ukinunulia Haki inaitwa Rushwa,
Kumdhaminia Mtu Mahakamani inaitwa Dhamana,Je PESA Unayohonga kwa mpenzi inaitwaje?


Karatu, nitarudi tena...
Mapendo
TANMO
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom