Kwa Hili WCB mmechemsha

Aje washkaji zangu wa nguvu!?

Kuna jambo sijalipenda hata #Kidogo na sina budi niliweke wazi. wiki iliyopita Kampuni ya WCB iliingia kwenye headliness baada ya msanii wake Diamond platnumz kuzuia uzinduzi wa Singo yake aliyowashirikisha Psquare ili kuruhusu msanii chipukizi wa WcB harmonize kuachia singo yake mpya iitwayo matatizo.

Kiukweli ilikuwa ni jambo zuri sana kwa mondi kuonesha support kwa vijana wake lakini nimeshangazwa na kitendo cha WCB tena kumruhusu Mondi kuachia ngoma yake mpya huku ngoma ya Harmonize bado ipo "Yamoto" bado hata aijaanza kupoa. Hii itasababisha Watu kusahau singo mpya ya Harmo na kuipa nafasi kubwa zaidi singo ya mondi kutamba. Kibiashara kwa WCB ni faida kubwa sana bt kwa Msanii Harmonize ni unyonyaji.

Napenda kuwashauri WCB wawe na mpango maalum wa kuachia ngoma. Tujifunze kwa wenzetu wamarekani inapotokea msanii mmoja yupo kwenye Chat basi wasanii wengine humpa gap ili wasije wakafunikwa. WCB ni chama kubwa na natumaini hili mtalifanyia kazi.

Nawasilisha

Otherwise uwe hu ujui Muziki. nilitamani sana nikukumbushe enzi za Crew ya Junior Mafia ile crew iliyokuwa ikiongozwa na Rais Notorious B.I.G huku humo ndani kukiwa na wakali kibao km Puff Daddy a.k.a P Diddy, Lil Kim a.k.a Queen B, na Rap Master Lil Sizz.


lkn kwa kuwa umeonesha huujui ngoja nikukumbushe kuhusu Crew ya YMCB Chini ya lebo ya Young Money na Producer Young Muller wakiwa Chini ya Rais Birdman.

hii crew ilikua na Wanyama wakali km Vile Lil Wayne, Nicki Minaj , Drek, Birdman na Tyga.

hawa wote walikua wanaachia ngoma zao ndani ya mwezi mmoja na kila baada ya miez miwili wanaachia ngoma ya Kundi yaani YMCB.



Sasa kinachotokea kwa WCB leo sio kitu kipya. ni msingi tu wa kujiimarisha ktk Soko la ndani. na kutumia nguvu ya video zao kujiimarisha ktk soko la nje.

In case ulikua hujui. Soko la ndani linahitaji Cooperative Power ku Push kazi ya sanaa kuwafikia watu wengi. kwa hili WCB wako mbali sana.
 
Kajipange ipya kijana iko kibwagizo cha dance, fiesta , forever sio lionel richie peke yake ametumia nenda kacheki henrique iglesias ft pitbul inaitwa i like it wamekitumia , nenda tena kacheki nyimbo ya dbanj bother you nae katumia hicho .
Acha kukariri jifunze mziki kijana
Sasa hao wte ni wezi tu kama yeye
 
Bado me naona WCB bado wako katika njia sahihi maana kuna vichwa zaidi ya vitatu katika manegment yao hivyo basi kusema wamechemka hiyo itakua ni Uongo. Kuna tofauti kubwa mno kati ya MATATIZO na KIDOGO, mtu akitaka faraja atasikiliza MATATIZO na mtu akitaka kuruka ruka atasikiliza KIDOGO. Haijalishi ni kwa namna gani ngoma hizi mbili kutoka WCB zina ukubwa gani ila tunachokiangalia hapa ni Ujumbe wenye thamani katika ngoma hizo. Jambo hili liko hata katika LABEL kubwa tuu hapa Africa mafano MAVIN inayosimamiwa na Don Jazz, utakuta Korede Bello ana hit na at the same time Dija ama Tiwa nao wana Hit ila kwa wakati mmoja kila mtu anapata air time. Unaposema bado ngoma hii ya MATATIZO bado haijapoa una maana kwamba ngoma hii iko siku itachuja? mmh silioni hilo maana kilichoko ndan ya ngoma hiyo ni kitu kikubwa mno.
Haya mambo bhana yana wenyewe na kila kitu kiko on fleek.
One love!
 
Pigeni kmya km huwez kuimba ckiliza play list hpo clouds tv azam TV uta enjoy maana zote zitapigwa
 
Aje washkaji zangu wa nguvu!?

Kuna jambo sijalipenda hata #Kidogo na sina budi niliweke wazi. wiki iliyopita Kampuni ya WCB iliingia kwenye headliness baada ya msanii wake Diamond platnumz kuzuia uzinduzi wa Singo yake aliyowashirikisha Psquare ili kuruhusu msanii chipukizi wa WcB harmonize kuachia singo yake mpya iitwayo matatizo.

Kiukweli ilikuwa ni jambo zuri sana kwa mondi kuonesha support kwa vijana wake lakini nimeshangazwa na kitendo cha WCB tena kumruhusu Mondi kuachia ngoma yake mpya huku ngoma ya Harmonize bado ipo "Yamoto" bado hata aijaanza kupoa. Hii itasababisha Watu kusahau singo mpya ya Harmo na kuipa nafasi kubwa zaidi singo ya mondi kutamba. Kibiashara kwa WCB ni faida kubwa sana bt kwa Msanii Harmonize ni unyonyaji.

Napenda kuwashauri WCB wawe na mpango maalum wa kuachia ngoma. Tujifunze kwa wenzetu wamarekani inapotokea msanii mmoja yupo kwenye Chat basi wasanii wengine humpa gap ili wasije wakafunikwa. WCB ni chama kubwa na natumaini hili mtalifanyia kazi.

Nawasilisha
Kabla hamjapumua inashuka kolabo ya Raynavy na Simbaaa!
 
Mbona kama ushapanic tayari?
Kwani vepeee?
Sijawahi na sitarajii na sijamuona wakunipanikisha mimi humu ndani na ndio maana mimi ndio huwa najibu kejeri,matusi na shombo zote zinazomuhusu DIAMOND PLATNUMZ na sitoacha.
 
Kipindi hiki si kizuri kutoa wimbo basi tu ubishi wake. .mtaani kuna aje ya king kiba na kuna hainaga ushemeji ya man fongo unaanzaje kutoa wimbo. .Diamond mjanja ndo maana hajatoa wimbo mpaka sasa kaamua kutoa video clip ya sarakasi aliofanya na p square ambapo yeye diamond kaenda kama moses iyobo wa p square
 
Kipindi hiki si kizuri kutoa wimbo basi tu ubishi wake. .mtaani kuna aje ya king kiba na kuna hainaga ushemeji ya man fongo unaanzaje kutoa wimbo. .Diamond mjanja ndo maana hajatoa wimbo mpaka sasa kaamua kutoa video clip ya sarakasi aliofanya na p square ambapo yeye diamond kaenda kama moses iyobo wa p square
Haha ushabiki mwingine bwana
 
Kipindi hiki si kizuri kutoa wimbo basi tu ubishi wake. .mtaani kuna aje ya king kiba na kuna hainaga ushemeji ya man fongo unaanzaje kutoa wimbo. .Diamond mjanja ndo maana hajatoa wimbo mpaka sasa kaamua kutoa video clip ya sarakasi aliofanya na p square ambapo yeye diamond kaenda kama moses iyobo wa p square
Akili yako imeganda hivi unadhani diamond anatoa nyimbo kwa ajili ya soko la tanzania pekee? Pole sana
 
mimi wimbo wa matatizo cjauelewa kabisa
hili dude la platinumz ni noma yani...
dance la kunimalizaga.....
kama mtu anataka nyimbo za mafunzo twenty% anazo ny ingi tu
anaetaka za kubembelezwa maua sama anazo

anaetaka midude ya next level kwa mond nyote mnakaribishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom