Kwa hili wabunge wa CCM wangekua na walau akili wangejionea aibu.

Nanoli

JF-Expert Member
Oct 15, 2015
3,735
5,967
Amani iwe juu yenu...

Kutokana na report ya pili ya mchanga, Rais kaagiza m8karaba irudishwe bungeni ikapitiwe upya na kuwekewa sheria mpya....
Hili jambo lilikua likipigiwa kelele na wabunge wa upinzani, ila kwakua kelele zao zinamezwa na zile ndiooooo, wamekua wakishindwa kutetea hoja zao.
Pia mambo mengi yanayojitokeza ni kutokana na katiba mbovu tuliyonayo, kwani ile rasimu ya katiba ya akina Warioba ndio ilikua dawa ya haya matatizo haya,.. Ila kwakua wabunge wale walio wengi wa ndioooooooo! Hawahitaji kujadili mambo kwa faida ya taifa, haya ndio matokeo yake....
Sasa ndg zangu wa ndioooooo,.... Mnajisiaje leo hii inaporudishwa kwenu tena murekebishe kosa lenu la ndioooooooo....? Yote haya ni ninyi..
 
NDIYOOOOOOOOOOO, kwakweli tunajisikia Raha na Amani Sana, maana SI unajua tena tutasaini Posho? Mimi binafsi naamini posho hii itanisaidia kupata Spanish Tiles kwaajili ya Bangaloo langu hapo mbezi-makonde.
 
NDIYOOOOOOOOOOO, kwakweli tunajisikia Raha na Amani Sana, maana SI unajua tena tutasaini Posho? Mimi binafsi naamini posho hii itanisaidia kupata Spanish Tiles kwaajili ya Bangaloo langu hapo mbezi-makonde.
Hahahaaaa,... Hawa jamaaa wanatuumiza sana
 
Mkuu, hawana uzalendo, Ni Wako kazini kupata pesa kwa maslahi Yao Tu, ifike wakati na sisi tuone namna tunaweza ku-equalize the disivion of our beloved national cake.
Wako tayari kuwaona wananchi wanakufa njaa na kuwa maskini, lakini kuacha ndioooooo... Kwa manufaa ya chama hiyo never ever!
 
"Pale BoT kuna PhD kumi na saba; these are the results. Wanasheria wengi wamefundishwa na Profesa Kabudi...wakiingia kwenye mikataba wanasaini kila kitu...tumelogwa na nani? Basi kama tumelogwa, mtuombee nyinyi wachungaji na mashehe, kama mapepo yaondoke" - JPM

Ccm ndio wametufikisha hapa ,Wasituongopee hapa,
 
Sijui wananchi bado hawashtuki.. mtu amepitisha mikataba mibovu kama hii kwa uzembe wa kusema ndioooo hata kwa mambo ya misingi halafu anakuja jukwaani na ... CCM HUYEEEEEEEEE!! au KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIIIII>>
 
Kitaalamu Hii taarifa ya kamanda Lissu itaivuruga na kuivunjavunja ripoti ya pili kama alivyovuruga ile ya kwanza. All in all, Serikali itake isitake lazima iukubali mchango wa Lissu. The guy is brilliant na hana mpinzania katika sekta hii na mengineyo..... Serikali inajua wazi kuwa 90% ni brainwashed ambapo ukicheza na maneno tu hushangilia kila kitu....

Hapa Lissu kafanya SPINING anataka pia Sheria za gesi asili, anataka mikataba ya ujenzi wa Airport Chato, anataka mikataba ya Bombardier na mambo mengine lukuki ambayo anajua yataamsha hasira za watanzania.

Na kimsingi, atafanikiwa kama alivyofanikiwa kuifanya ripoti ya mwanzo ionekane NONSENSE...
 
HAWANA AIBU WALE MKUU,IA CHA AJABU TUNAWARUDISHA BUNGENI NA SERIKALINI MKUU,SIJUI TUMELAANIWA??
 
Sijui wananchi bado hawashtuki.. mtu amepitisha mikataba mibovu kama hii kwa uzembe wa kusema ndioooo hata kwa mambo ya misingi halafu anakuja jukwaani na ... CCM HUYEEEEEEEEE!! au KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIIIII>>
Kweli! Wananchi hatuna wa kumlaumu... Ujinga huu wa ndioooooo .. Hatujauchoka tu kwanini!? Wametufikisha hapa, kwanini tuwarudishe bungeni tena?
 
Tangu lini wakajionea aibu wakati kila kitu kwao ni ndio ndio ndio...
Wangekuwa na aibu asingepatikana mwenye kitambi miongoni mwao. Tangu walipoonekana kuwa wepesi kiasi naibu spika ikabidi atengenezwe walipaswa kujiangalia. Hivi sasa teuzi ambazo zamani zilitoka ndani ya bunge inabidi Rais ajitafutie kwingineko
 
Kama MACK ZUCKERBERG na BILL GATES wao Wali DROPOUT pale HAVARD UNIVERSITY..
ANDREW CHENGE yeye alikaza mpaka aka GRADUATE pale ..
Mnategemea WABONGO mtaenda nae sawa.?
 
Back
Top Bottom