Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Kama katiba mpya itakuja na serikali tatu, hakika Chadema lazima iingie ikulu kati ya kinyang'anyiro kimojawapo cha urais wa bara/au muungano,kwani chadema watasimamisha mgombea kwa ajili ya muungano/ au bara.
Natabiri ushindi wa kishindo hususani kwa rais wa Bara,kwani hazina ya kura za Zanzibar haitakuwepo kwa CCM,kwani ushindi wao ni ziada ya kura zanzibar. Nawasilisha!!
Natabiri ushindi wa kishindo hususani kwa rais wa Bara,kwani hazina ya kura za Zanzibar haitakuwepo kwa CCM,kwani ushindi wao ni ziada ya kura zanzibar. Nawasilisha!!