Kwa hili tuwaunge mkono ndugu zetu waislam! Hapa wapo sahihi kabisa!!

katika nchi ya wastaarabu au free world watu wanakuwa na uhuru wa kuchagua wavae nini. hii tabia ya kumwona mwanamke kama chombo cha sex kwa hiyo tumfunike hadi usoni ili watu wasimtamani haina nafasi kwetu. mwanamke yupo huru ila pia sheria iwe kali kuwadhibiti wale ambao hawawezi kuzuia tamaa zao. nenda marekani ufanye abuse ya mwanamke anayeenda nusu uchi uone
 
Kwanza nashangaa, katiba yetu imetaja kabisa mavazi yasiyo na maadili, yenye kubana maungo, yenye kupwaya sana na yanayoacha sehemu za siri wazi. Mbona haya hayavaliwi njuga, eti joto, joto hilo ni kwa wanawake tu! Uongo mbaya, dada zetu ni malimbukeni wa fasheni, thats y nguo zao zinapata umaarufu haraka..kibajaji, mshazari n.k. hali kadhalika zinachuja fasta. Na sasa hivi kina dada wanashindani kukaa uchi, kuanika maungo yao nje. Na sidhani kama ni ustaarabu, kina baba waangalie wake zao, na watoto wao. Naomba kuwasilisha....
 
Sasa wewe brother hujawahi enda beach? nenda beach ukazoee kuwaona wasichana wakiwa na chupi na sidiria tu. uwaone wengi hadi uzoee uone kawaida. au la usiwaangalie. wewe utakuwa ndio umeingia mjini.
waache wasichana wapunge hewa bwana. joto jingi, hakuna hata na viyoyozi vya kuwapoza sababu ya mgao.
yakikushinda amia afghanistan ukakodolee macho ndevu za taliban sababu wanawake kule hata kutoka nje tabu.

Kwani mtaa wa Azikiwe, Samora, Bibititi ni Beach?
Basi wavae night dress barabarani kama suala ni vyovyote popote!!
 
Kweli lakini wanzinzi wengi ni hao wavaa vificha sura!

hakuna jamii inayonuka kwa ngono kama hiyo mnayosema inavaa hijabu!

Yale ni matendo ya moyo
 
Kweli lakini wanzinzi wengi ni hao wavaa vificha sura!

hakuna jamii inayonuka kwa ngono kama hiyo mnayosema inavaa hijabu!

Yale ni matendo ya moyo

Mkuu Waberoya heshima kwako. katika watu naowakubali JF mmoja wao ni wewe, very kindly and good man, Threads zako pamoja na posts zako kwa kweli mimi binafsi nazikubali sana leo Weberoya posts zako zimenifanya nikuangalie kwa sura mbili tofauti, moja ya mtu makini ya pili mdini, kutokana na jinsi ulivyochangia hii thread na thread nyingine ile ya nguruwe.
 
shida sio mavazi ila ni imani yako ndio imetetereka, kwani nani kakwambia fahari ya macho inafilisi duka?
 
Wow! Hata siamini nasoma hii in this day and age...Halafu watu wengine wanasupport ati wapigwe mawe. Kwanza hebu niambie hiyo dini na mavazi hapa vinahusiana vipi? Kwanza ulijuaje kuwa aliyevaa hivyo siyo muislamu? Na pia who are you to decide what someone should wear or not? Kwanza ungekaa chini na kugoogle kidogo ungejua historia ya mavazi imetokea wapi? Hizi nguo tunazo vaa sio za kwetu halafu unajidai sio maadili tell that to your great great great grand ma. Stop degrading women and treat them as commodities. Kama huppendi alichovaa mtu basi usiangalie. We kama una imani yako mtu akitembea uchi wee unaogopa nini? Inaonyesha imani yako ni ndogo ndio maana unaanza kutetemeka.

Na huyo anayesema katiba hivi katika vile..Kwenye masuala mengine ohhh katiba ipo outdated lakini kwenye mengine mko juu. Acheni hizo whenever you say something about women before you post think first of your mother...Ukimdharau au kutalk down mwanamke ujue unamdharau mama yako. Na wanaume wanao vaa skinny tights now umtawapiga mawe au ni wanawake tu? Acheni hizo na mjue ulimwengu wa leo binadamu wote ni sawa na nyie mnaolilia lia kuhusu hili au lile ni waoga na hamjiamini. You know they always say when pp they see you are up there they will find a way to put down so you can level with them. Na njia za ku level with them ndio hii degrading, gossiping etc etc...Waoga wa jamii ndio kutwa kucha kuangalia mwanamke kafanya nini, kavaa nini ili ujioni bado you are still in a control..Do you job right other wise kaa chini...Kwanza wanasema 99% ya wasichana wanaoharibikiwa wababa zao hawakuwa karibu nao na kuwapa maadili au uwafundisha what is right and what is wrong...Sasa wee alia kutoa macho na kutazama wasichana ( watoto wa wenzako) wakati wa kwako hujui analofanya when you are not not looking...

You know all these are are just trendy the more you look and talk about it the more women will wear and know thatthey get your attention. So if you don't want pp to wear those things you don't like or you feel they are not suitable for your so called tradition just don't look and stop talking about it...au if that is not enough buy your island and go live there...But talking down of us is just not right and so late....

That is just me!!!!!!!

"Stand with anybody that stands right, stand with him while he is right and part with him when he goes wrong."
 

Attachments

  • 2.jpg
    2.jpg
    100.8 KB · Views: 61
  • 1.jpg
    1.jpg
    144.1 KB · Views: 48
mada yako ulianza vizuri ila nadhan umelalia pasipo sahihi kwani ni kweli akinamama wanatakiwa wavae mavazi ya staha na yanayokidhi kujistiri lakini kusema wavae baibui si sahihi kwani si baibui pekee ndio vazi la kujistiri wanaweza hata vaa mavazi mengine hasa yanayoenda na wakati na bado yakawa ya kujistiri tusiwanyime uhuru na wao wa kufurahia maisha kwa kuwabandika mabaibui eti ndio vazi la kujistiri pekee wakati ni outdated mavazi, yalikua proper enzi za medieval society sio karne ya 21 ! tuwaache waende na wakati na wao wa enjoy life lakini wajistiri tosha! cha msingi ni vigezo kama yavuke magoti, yapite mabega, mgongo usiwe wazi, yasibane ****** nk
 
Nakubali maoni yenu wana JF bt 2ctetee ujinga wa wanawake kutembea uchi km ndio uhuru wa kila m2 mbona sisi watumiaji bangi hamja2pa haki ze2 munasema haramu
 
Wanangu mtoa hoja na wanao muunga mkono tatizo lao ni tamaa zenye upofu au kutokuwa na cha kufanya na kubakia huyu kavaa vipi!
Kama ni tamaa inatoka rohoni ndio sababu mwingine akiona aliye vaa nusu uchi anakufa tamaa kwa kujua huyu ni malaya. Mwingine mwanamke akijistiri ndipo tamaa inaanya kuwaka.
Kila mtu ahaingikie maisha yake si kuangalia mtu mwingine kala kavaa nini! tuache mawazo ya utupu.

Mgeni:-
Sijasema NILIWATAMANI HAO NILOWAONA! WALA SIKUSEMA NILIWAONA BEACH!!
Kwa wanaoshauri niende beach bado hawajaelewa hoja yangu NA huenda niende mbali zaidi kwa kuwaambieni kwamba:- KWA NINI MSISHAURI NIENDA KWENYE S. TEASERS HALL?!!
What am trying to say is:- Its not about lust and seduction rather dressing right outfit at the right place.
 
mada yako ulianza vizuri ila nadhan umelalia pasipo sahihi kwani ni kweli akinamama wanatakiwa wavae mavazi ya staha na yanayokidhi kujistiri lakini kusema wavae baibui si sahihi kwani si baibui pekee ndio vazi la kujistiri wanaweza hata vaa mavazi mengine hasa yanayoenda na wakati na bado yakawa ya kujistiri tusiwanyime uhuru na wao wa kufurahia maisha kwa kuwabandika mabaibui eti ndio vazi la kujistiri pekee wakati ni outdated mavazi, yalikua proper enzi za medieval society sio karne ya 21 ! Tuwaache waende na wakati na wao wa enjoy life lakini wajistiri tosha! Cha msingi ni vigezo kama yavuke magoti, yapite mabega, mgongo usiwe wazi, yasibane ****** nk

i concur!!
 
Duh me kinchonikera zaid nivile Viguo vinavyoacha makwapa wazi Duh mpaka nimeacha kupanda daladala, kuna nguo kiukweli sio vyema kuvaa hadharani
 
Ingawa ni kweli kuwa mavazi ya aina yanatamanisha kimapenzi lakini bado mtamanio yako palepale hata kama demu kavaa hijab au baibui. Ndio maana waislamu wanaoana. Wanaovaa nguo ambazo zinaweza kudhaniwa sio nzuri kimaadili hawaangalii wakati gani wa kuvaa kuvaa nguo hizo. Kwa mfano nikivaa truck suit nikaenda jogging asubuhi halafu nikaenda kunywa chai hotelini walio hotelini watanishangaa kwa kuwa truck sio vazi ambalo kwa kawaida mtu atavaa kwenda nalo hotelini. Vivyo hivyo mtu anaweza kuvaa vazi ambalo linatakiwa kuvaliwa sehemu fulani na akaamua kwenda nalo sehemu nyingine kwa kujua au kutojua. Wakati mwingine nauita ushamba.
 
Kwa mfano nikivaa truck suit nikaenda jogging asubuhi halafu nikaenda kunywa chai hotelini walio hotelini watanishangaa kwa kuwa truck sio vazi ambalo kwa kawaida mtu atavaa kwenda nalo hotelini.


Huu ni ushamba wa kibongo wa kujifanya tunajua sana. Hapa nilipo as long hakuna dress code you can wear anything as long you are comfortable...Na hakuna anayepoteza muda kushangaa shangaa...
 
Fashion Fashion...Hahahaha utapiga mawe hapa???????

.
1893752277_13385401614.jpg
 

Attachments

  • 1347587058_6563709496.jpg
    1347587058_6563709496.jpg
    38.6 KB · Views: 49
  • 1501954103_1373271513.jpg
    1501954103_1373271513.jpg
    37.2 KB · Views: 46
  • 1598763641_10829891747.jpg
    1598763641_10829891747.jpg
    46.5 KB · Views: 45
Kweli lakini wanzinzi wengi ni hao wavaa vificha sura!

hakuna jamii inayonuka kwa ngono kama hiyo mnayosema inavaa hijabu!

Yale ni matendo ya moyo

Kama ukiona maungo ya mwanamke halaf hukusisimka unatakiwa ukamuone Dkt. Mtoa mada yeye anachozungumzia ni vishawish vya lazima kupitia mavazi ya kuiga frm western countries na sio tabia ya mtu aliyokuwa nayo km we unavyolaumu. Kikweli mvaa baibui na mvaa kiMIN au pedo huku maungo yote ya ndani yanaonekana huwezi kulinganisha ata siku moja kny ushawish. Mvaa pedoo huku uchi zikionekana ana nafasi kubwa sna ya kukushawish kufanya zinaa/kubaka. Ndio maana leo nchi zinazoongoza kwa kubakwa mabinti ni hizo wakaa uchi wamejaa. Suala la tabia ni jambo lingine apo. Mabinti wa kiTnz waache kuiga kila utumbo wa west, hivi Wanajisikiaje watu takriban 1000 wanaona uchi wako tena maeneo kama ya Posta?? Mbona wao hawajakuonyesha, kiakili ya kawaida wanahitaji tiba vichwani mwao. Acheni kuiga kila uozo nyie mabinti. Ukiuliza watakuambia utandawazi. Shame on u all mabinti wakaa uchi.
 
katika nchi ya wastaarabu au free world watu wanakuwa na uhuru wa kuchagua wavae nini. hii tabia ya kumwona mwanamke kama chombo cha sex kwa hiyo tumfunike hadi usoni ili watu wasimtamani haina nafasi kwetu. mwanamke yupo huru ila pia sheria iwe kali kuwadhibiti wale ambao hawawezi kuzuia tamaa zao. nenda marekani ufanye abuse ya mwanamke anayeenda nusu uchi uone

Pole sana kwa kuiga kila utumbo kisa U.S wanafanya ilo. Hivi ukikaa uchi unakuwa unatofauti gani na NG'OMBE??!! Yeye hakupewa akili ya kujistiri wewe eti unatetea uhuru wa mtu na bado unalaumu chombo cha sex. Unakaa uchi mwenyewe huku ukishawish wanaume marijali wakikupapasa unataka sheria ikulinde shame on you! Haya huko U.S unaposema wewe wapi umeona Hilary clinton au Michelle Obama wanakaa uchi hadharin km nyie huku mnavyofanya?? Na kama ustaarabu ndio kukaa uchi niambie wapi wamethibitisha ilo kwa maandishi yeyote yakuaminika na wastaarabu dunian km sio maandiko tukufu yote? Acheni kuiga nyie mavazi ya beach/kulalia mnavaa mchana tena Posta.
Shame on u kwa kutetea mataputapu
 
Kweli lakini wanzinzi wengi ni hao wavaa vificha sura!

hakuna jamii inayonuka kwa ngono kama hiyo mnayosema inavaa hijabu!

Yale ni matendo ya moyo

Kama ukiona maungo ya mwanamke halaf hukusisimka unatakiwa ukamuone Dkt. Mtoa mada yeye anachozungumzia ni vishawish vya lazima kupitia mavazi ya kuiga frm western countries na sio tabia ya mtu aliyokuwa nayo km we unavyolaumu. Kikweli mvaa baibui na mvaa kiMIN au pedo huku maungo yote ya ndani yanaonekana huwezi kulinganisha ata siku moja kny ushawish. Mvaa pedoo huku uchi zikionekana ana nafasi kubwa sna ya kukushawish kufanya zinaa/kubaka. Ndio maana leo nchi zinazoongoza kwa kubakwa mabinti ni hizo wakaa uchi wamejaa. Suala la tabia ni jambo lingine apo. Mabinti wa kiTnz waache kuiga kila utumbo wa west, hivi Wanajisikiaje watu takriban 1000 wanaona uchi wako tena maeneo kama ya Posta?? Mbona wao hawajakuonyesha, kiakili ya kawaida wanahitaji tiba vichwani mwao. Acheni kuiga kila uozo nyie mabinti. Ukiuliza watakuambia utandawazi. Shame on u all mabinti wakaa uchi.
 
Back
Top Bottom