Kwa hili tuchukue mapema MAAMUZI MAZITO

Mcheza Karate

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
690
350
Watanzania wenzangu binafsi napenda leo nieleze fikra zangu kwenu, kuwa kwa hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa tunahitaji kufanya maamuzi magumu.

Wana CCM, CHADEMA, CUF,wasio na vyama nk. Sote tunahitaji "kuichukulia hatua serikali". Kabla ya uchaguzi wa 2015 tunahitaji "kuingia barabarani" kushinikiza serikali kutatua kero zote ambazo kwangu naamini haina haja ya kuzitaja kwa vile kila mmoja yuko hoi kwa hali ilivyo. Sio kufanya vurugu bali maandamano ya amani nchi nzima kila mmoja ashiriki.

Napendekeza maandamano yafanyike kwa siku 7 mfululizo na serikali isitoe ahadi ya kushughulikia bali "iwajibike". In that situation they will listen and care to us. Haihitaji ushabiki wa vyama hii ni kwa wazalendo wa taifa hili.

Napenda kuwasilisha!!!!
 
Anzia hapa:

Tarehe 3 mwezi October 2011 watanzania kuvaa nguo nyeus kulaani utendaji wa serikali kama kama unaguswa na mambo yafuatayo basi na wewe vaa na umwambie na mwenzako kama yana muhusu naye avae.
1.ukosefu wa ajira
2.kupanda kwa gharama za maisha
3.huduma mbaya za afya, elimu na maji.
4.ukosefu wa umeme
5. Ufisadi
6.mikataba mibovu
7. Ubaguzi kwenye mikopo ya elimu ya juu
8.malipo duni ya wafanyakazi wa serikali
9.ufujaji wa mali ya umma kwa watendaji wa serikali kwa safari zisizo na tija.
10. Kuwakumbatia wawekezaji katika kuiba ardhi na rasilimali ya wanyonge

Huu ni ujumbe unao zunguka kwenye Mitandao ya kijamii twitter, facebook na myspace pia sms kwa njia ya simu zimeanza kusambaaa nchi nzima.
 
Anzia hapa
Tarehe 3 mwezi October 2011 watanzania kuvaa nguo nyeus kulaani utendaji wa serikali kama kama unaguswa na mambo yafuatayo basi na wewe vaa na umwambie na mwenzako kama yana muhusu naye avae.
1.ukosefu wa ajira
2.kupanda kwa gharama za maisha
3.huduma mbaya za afya, elimu na maji.
4.ukosefu wa umeme
5. Ufisadi
6.mikataba mibovu
7. Ubaguzi kwenye mikopo ya elimu ya juu
8.malipo duni ya wafanyakazi wa serikali
9.ufujaji wa mali ya umma kwa watendaji wa serikali kwa safari zisizo na tija.
10. Kuwakumbatia wawekezaji katika kuiba ardhi na rasilimali ya wanyonge

Huu ni ujumbe unao zunguka kwenye Mitandao ya kijamii twitter, facebook na myspace pia sms kwa njia ya simu zimeanza kusambaaa nchi nzima.
Nitavaa!!!!!!!!!
 
Hayo maneno tumeyachoka, isije ikawa na wewe ni kina Mwingereza?
 
Usijali watu watakuunga mkono hapa lakini kila mmoja anajua hizi ni porojo tu...
Uchaguzi subiri mpaka 2015 hiyo ndio demokrasia.
 
kuvaa nguo nyeusi sio kupindua serikali wala sio kufanya fujo nihaki ya mtu kuvaa akipendacho ikiwezekana wananchi wote tukavaa nguo nyeusi siku hiyo tutafikisha ujumbe kwa njia salama zaidi na tutaonyesha jinsi gani hatukubaliani na utendaji na uwajibikaji wa serikali yetu legelege.
 
kuvaa nguo nyeusi sio kupindua serikali wala sio kufanya fujo nihaki ya mtu kuvaa akipendacho ikiwezekana wananchi wote tukavaa nguo nyeusi siku hiyo tutafikisha ujumbe kwa njia salama zaidi na tutaonyesha jinsi gani hatukubaliani na utendaji na uwajibikaji wa serikali yetu legelege.

kweli hilui linawezekana kabisa au tuandamane tu tujue moja
 
Hilo litakuwa gumu huenda " watawala" wakaweka pamba masikioni, dawa ni kuingia barabarani tu, tujue moja kwa huyu "fisadi papa"(mtalii wa majengo ulaya, amerika na a/kusini).
 
2015 si mbali wandugu. Polisi wa tz wana visirani sana. Bora tufunge mikanda hadi hapo kisha box la kura liamue. Hapo ndio tutaingia mitaani kama kutakuwa na harufu ya uchakachuaji
 
Unajua lazima tuelewe nini tunataka na namna gani tukiwasilishe ili ujumbe uwafikie walengwa.

Sasa tukivaa nguo nyeusi, then tunaenda osfisini kufanya kazi kama kawaida, tunajipanga kwenye foleni za kuteka maji kama kawaida, tunanunua vocha za simu kama kawaida, TUTALUA TUNAFIKISHA UJUMBE GANI KWA NANI?


CHA KUFANYA NI KUAMUA;
  1. Tugome kwenda kazini
  2. tugome kununua vocha,umeme,kununua mafuta au kitu kimoja tuchague ambacho kitaitia serikali hasara, na ijue kuwa tumefanya hivyo kwa kuwa haturidhishwi na utendaji wake
  3. tupange mikakati ya migomo endelevu. ukitoka mgomo wa posho kwa wanafunzi, next wa posho za wabunge, next ajira, next elimu duni ......
  4. baada ya hapo tutafanya sasa maandamano ya ki-ukweli kutaka mabadiliko ya serikali nzima.
Lakini bila hivyo, KUVAA NGUO NYEUSI, UTAISHIA KUPATA JOTO, ALAFU JAMAA WATAJIFANYA HAWAJUI LILILOENDELEA THEN, WE ACHIEVE NOTHING.

WE NEED TO TELL THEM IN BLACK AND WHITE, HATUTAKI HIKI NA HIKI NA HIKI
 
tatizo waislamu wakikusikia unasema kuhusu maisha magumu yanayosababishwa na ccm na magamba yao WATATOA TAMKO LA KUKULAAANI..........................TATIZO KUBWA NI KUWA WATZ SIO WAMOJHA.....KWA KILA HOJA YA MSINGI ITOLEWAYO WAVIVU WA KUFUKILI HUANZA KUINGIZA UDINI, VYAMA, NA UKABILA NA HAYA NDIYO MAFANIKIO YA CCM KWA SASA KWANI IMEFANIKIWA KUWAGAWA WATZ KWA ITIKADI MBALIMBALI NA KWA HIYO MNAPOKUWA KATIKA HARAKATI ZA KUDAI KITU FULANI HUIBUKA KUNDI FULANI NA KAULI ZA AJABU........KIKNBGINER CCM IUNAJITAHIDI SANA KUTUMIA UMASIKINI WA FEDHA NA ELIMU WA WATZ KWA KUWADANGANY KWA FULANA,P0MBE NA PILAU........
NI WAZO ZURI NA SISI WANA MAGEUZI TUPO TAYARI JAPO VIKWAZO NI VINGI SANA NCHI HII...HATUNA UMOJA KWENYE KUDAI MAMBO YETU YA MSINGI NA YENYE MASLAHI KWETU SOTE

Watanzania wenzangu binafsi napenda leo nieleze fikra zangu kwenu, kuwa kwa hali ya nchi yetu ilivyo hivi sasa tunahitaji kufanya maamuzi magumu.

Wana CCM, CHADEMA, CUF,wasio na vyama nk. Sote tunahitaji "kuichukulia hatua serikali". Kabla ya uchaguzi wa 2015 tunahitaji "kuingia barabarani" kushinikiza serikali kutatua kero zote ambazo kwangu naamini haina haja ya kuzitaja kwa vile kila mmoja yuko hoi kwa hali ilivyo. Sio kufanya vurugu bali maandamano ya amani nchi nzima kila mmoja ashiriki.

Napendekeza maandamano yafanyike kwa siku 7 mfululizo na serikali isitoe ahadi ya kushughulikia bali "iwajibike". In that situation they will listen and care to us. Haihitaji ushabiki wa vyama hii ni kwa wazalendo wa taifa hili.

Napenda kuwasilisha!!!!
 
Hilo litakuwa gumu huenda " watawala" wakaweka pamba masikioni, dawa ni kuingia barabarani tu, tujue moja kwa huyu "fisadi papa"(mtalii wa majengo ulaya, amerika na a/kusini).
Tena fanyeni maandamano mkiwa uchi,
 
Unajua lazima tuelewe nini tunataka na namna gani tukiwasilishe ili ujumbe uwafikie walengwa.

Sasa tukivaa nguo nyeusi, then tunaenda osfisini kufanya kazi kama kawaida, tunajipanga kwenye foleni za kuteka maji kama kawaida, tunanunua vocha za simu kama kawaida, TUTALUA TUNAFIKISHA UJUMBE GANI KWA NANI?


CHA KUFANYA NI KUAMUA;
  1. Tugome kwenda kazini
  2. tugome kununua vocha,umeme,kununua mafuta au kitu kimoja tuchague ambacho kitaitia serikali hasara, na ijue kuwa tumefanya hivyo kwa kuwa haturidhishwi na utendaji wake
  3. tupange mikakati ya migomo endelevu. ukitoka mgomo wa posho kwa wanafunzi, next wa posho za wabunge, next ajira, next elimu duni ......
  4. baada ya hapo tutafanya sasa maandamano ya ki-ukweli kutaka mabadiliko ya serikali nzima.
Lakini bila hivyo, KUVAA NGUO NYEUSI, UTAISHIA KUPATA JOTO, ALAFU JAMAA WATAJIFANYA HAWAJUI LILILOENDELEA THEN, WE ACHIEVE NOTHING.

WE NEED TO TELL THEM IN BLACK AND WHITE, HATUTAKI HIKI NA HIKI NA HIKI

Gomeni na kula
Gomeni kulewa
Gomeni kufanya mapenzi
 
Back
Top Bottom