Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Mods,
Sijui nini hasa dhumuni lenu lakini kuiunganisha thread yangu na nyingine sidhani kama mmenitendea haki yangu ya msingi. Nimemuuliza mhe swali ni matarijio yangu ingekuwa rahisi yeye kuona ila kwa makusudi mmeipotezea kwenye thread yenye pages nyingi ili swali likunikwe! Hii haivumiliki bado nitamuuliza Mkumbo iweje yeye awakilishe wanawake kuchaguwa wanawake wa kuwawakilisha wanawake? Mkumbo anatakiwa ajibu kwa hoja na sio kupotezea maswali ili iwe ngumu kufanya follow up.
Na hii musiiunganishe muidelete kabisa.! Mheshimiwa usipate sababu ya kutojibu maswali yetu tunaoitakia chadema mema gonga hiyo link utaona swali tajwa. Asante sana......
Mheshimiwa Kitila Mkumbo
Started by Sokomoko, Today 10:47 AM
Sijui nini hasa dhumuni lenu lakini kuiunganisha thread yangu na nyingine sidhani kama mmenitendea haki yangu ya msingi. Nimemuuliza mhe swali ni matarijio yangu ingekuwa rahisi yeye kuona ila kwa makusudi mmeipotezea kwenye thread yenye pages nyingi ili swali likunikwe! Hii haivumiliki bado nitamuuliza Mkumbo iweje yeye awakilishe wanawake kuchaguwa wanawake wa kuwawakilisha wanawake? Mkumbo anatakiwa ajibu kwa hoja na sio kupotezea maswali ili iwe ngumu kufanya follow up.
Na hii musiiunganishe muidelete kabisa.! Mheshimiwa usipate sababu ya kutojibu maswali yetu tunaoitakia chadema mema gonga hiyo link utaona swali tajwa. Asante sana......
Mheshimiwa Kitila Mkumbo
Started by Sokomoko, Today 10:47 AM