thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Kwenye huu mtanziko wa bunge na CAG ,chama cha mapinduzi kinalichukua kwa umakini mkubwa sana kwa kuchunga kauli yake ,napongeza uongozi mzima wa ccm kwa utulivu huu,
Najua mnalifanyia ,kazi na mtatoka na kauli moja yenye kuleta mshikamano kwa watanzania na si kama wale ambao kila tukio hutumia kama mtaji wa kisiasa,
Suala la kila kiongozi kutoka na tamko lake hua na madhara , ,kwani kauli inaweza kua ni njema ila ikatafisiriwa kipotoshaji,na kua mbaya sana kwa chama na serikali mbele ya wananchi.
Kuna kundi linalazimisha viongozi mtoe tamko ili wapate pa kuanzishia mijadala mingine.na lazima kutakuwepo propaganda za upotoshaji
Najua mko katika vikao nyeti kwa lengo la kumaliza mtanziko huu kwa salama kabisa.na tuna matarajio chanya kwa hii issue.
Napongeza sekretarieti ya chama kwa kuwaonyesha watanzania ya kua ccm ni chama imara na kikongwe barani afrika.
Mwisho viongozi wa ccm kumbukeni mdomo uliponza kichwa,chungeni kauli zenu dhidi ya mahasimu wenu.
Nawatakia kazi njema
Najua mnalifanyia ,kazi na mtatoka na kauli moja yenye kuleta mshikamano kwa watanzania na si kama wale ambao kila tukio hutumia kama mtaji wa kisiasa,
Suala la kila kiongozi kutoka na tamko lake hua na madhara , ,kwani kauli inaweza kua ni njema ila ikatafisiriwa kipotoshaji,na kua mbaya sana kwa chama na serikali mbele ya wananchi.
Kuna kundi linalazimisha viongozi mtoe tamko ili wapate pa kuanzishia mijadala mingine.na lazima kutakuwepo propaganda za upotoshaji
Najua mko katika vikao nyeti kwa lengo la kumaliza mtanziko huu kwa salama kabisa.na tuna matarajio chanya kwa hii issue.
Napongeza sekretarieti ya chama kwa kuwaonyesha watanzania ya kua ccm ni chama imara na kikongwe barani afrika.
Mwisho viongozi wa ccm kumbukeni mdomo uliponza kichwa,chungeni kauli zenu dhidi ya mahasimu wenu.
Nawatakia kazi njema