Mwalimu Tanzania
Member
- Jul 28, 2013
- 72
- 17
Kwa kifupi napenda kutoa maoni na uzoefu wangu juu ya ripoti iliyotolewa kuhusiana na kunyanyaswa na kuteswa kwa wananchi katika opresheni TOKOMEZA iliyofanyawa na majeshi ya ulinzi na usalama.
kwa uzoefu wangu tangu, madhambi mengi yaliyoripotiwa kutendwa katika opresheni hiyo polisi hawakuhusika kutenda ufuska huo, polisi hawezi akabaka raia, kudhalilisha kwa kuwafanyisha ngono na mengineyo. Vitendo hivi vimetendwa na majeshi mengine. Chunguzeni hilo, mtaniambia. Jeshi la Polisi linaheshimu sana sheria za nchi, ila yapo majeshi ambayo hayatambui hilo. kwa kifupi, operesheni kama hizi ziwe zinaongozwa na Jeshi la polisi kwani ndiyo wasimamizi wa sheria za nchi. chunguzeni mtagundua hilo.
kwa uzoefu wangu tangu, madhambi mengi yaliyoripotiwa kutendwa katika opresheni hiyo polisi hawakuhusika kutenda ufuska huo, polisi hawezi akabaka raia, kudhalilisha kwa kuwafanyisha ngono na mengineyo. Vitendo hivi vimetendwa na majeshi mengine. Chunguzeni hilo, mtaniambia. Jeshi la Polisi linaheshimu sana sheria za nchi, ila yapo majeshi ambayo hayatambui hilo. kwa kifupi, operesheni kama hizi ziwe zinaongozwa na Jeshi la polisi kwani ndiyo wasimamizi wa sheria za nchi. chunguzeni mtagundua hilo.