Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 777
- 749
Habari za siku wana jamvi? Ni mda mrefu nilikuwa sitoi mchango wangu huku jukwaani hii ni kwa kutingwa na majukumu.Leo naomba niwaletee hili la dada zetu kuwa na viburi,kejeli kwa bwana zao na madhara yake.
Ni juzi tu nilikuwa niko safari na nilipofika Ubungo majira ya saa tano usiku nilianza ona ongezeko la watoto wengi wakipigania mabox ya kulalia,huruma ilinishika sana kwa kuwa nilikuwa nimekaa karibu na mama mmoja kwenye benchi kwenye jumba la wasafiri tulianza kuliongelea la watoto kuwa mtaani ili hali wamezaliwa na wazazi tulienda mbali zaidi akanieleza kuwa ili linachangiwa zaidi na kina dada wengi ambao wanakimbiwa na wanaume mara baada ya kujifungua kutokana kutokuwa makini kataka kuishi na bwana zao na hivyo kupelekea kutomdu malezi ya watoto na hivyo watoto kukimbilia mitaani.
NACHOKIOMBA NINAOMBA DADA ZETU TUWE NA NAMNA NJEMA YA KUISHI KATIKA NDOA NA KUVUMILIA NA PIA SISI AKINA BABA NAOMBA TUWA HURUMA KWA WANETU TUNAOZAA HATA KAMA UNA MATATIZO NA MAMA MWANAO HANA KOSA MTUNZE KTK MALEZI MAZURI NA KUMPA MAHITAJI MUHIMU KMA VILE ELIMU ,MALAZI, CHAKULA NA MAPENDO.
MUNGU AWABARIKI
Ni juzi tu nilikuwa niko safari na nilipofika Ubungo majira ya saa tano usiku nilianza ona ongezeko la watoto wengi wakipigania mabox ya kulalia,huruma ilinishika sana kwa kuwa nilikuwa nimekaa karibu na mama mmoja kwenye benchi kwenye jumba la wasafiri tulianza kuliongelea la watoto kuwa mtaani ili hali wamezaliwa na wazazi tulienda mbali zaidi akanieleza kuwa ili linachangiwa zaidi na kina dada wengi ambao wanakimbiwa na wanaume mara baada ya kujifungua kutokana kutokuwa makini kataka kuishi na bwana zao na hivyo kupelekea kutomdu malezi ya watoto na hivyo watoto kukimbilia mitaani.
NACHOKIOMBA NINAOMBA DADA ZETU TUWE NA NAMNA NJEMA YA KUISHI KATIKA NDOA NA KUVUMILIA NA PIA SISI AKINA BABA NAOMBA TUWA HURUMA KWA WANETU TUNAOZAA HATA KAMA UNA MATATIZO NA MAMA MWANAO HANA KOSA MTUNZE KTK MALEZI MAZURI NA KUMPA MAHITAJI MUHIMU KMA VILE ELIMU ,MALAZI, CHAKULA NA MAPENDO.
MUNGU AWABARIKI