alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kumbeee!
Mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais km ulivyokuwa wewe.Na hatua yako ya kumuundia Tume mteule mwenziyo lilikuwa kosa kubwa!
Nimeeleweshwa na kuelewa kwamba pamoja na makosa yaliyo kuwa bayana ya RC yule wewe hukupaswa kuchukua hatua zile.Maana ni sawa na kwamba ulikuwa umeiundia Tume ya kuichunguza mamlaka yako!
Pole brother!Rudi tu uombe radhi!
Mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais km ulivyokuwa wewe.Na hatua yako ya kumuundia Tume mteule mwenziyo lilikuwa kosa kubwa!
Nimeeleweshwa na kuelewa kwamba pamoja na makosa yaliyo kuwa bayana ya RC yule wewe hukupaswa kuchukua hatua zile.Maana ni sawa na kwamba ulikuwa umeiundia Tume ya kuichunguza mamlaka yako!
Pole brother!Rudi tu uombe radhi!