masoudmwevi
Member
- Aug 5, 2008
- 53
- 2
Nimepita Dodoma mjini kwa kweli ukiangalia mzunguko (ROUND ABOUT) wa pale Oil Com kama unakaribia ukumbi wa bunge na CBE yaani maua yake yamegeuka uchafu hayapendezi hata kidogo hakuna watu wa kuyatengeneza the same apply kwenye Round About ya kuingia stand kuu ya mabasi mjini lakini kwenye round about ya njia ya kwenda Nkuhungu hakuna jani hata moja lililopandwa
wadau mnasemaje kwani mara mia ya morogoro zinahudumiwa
nawasilisha
wadau mnasemaje kwani mara mia ya morogoro zinahudumiwa
nawasilisha