Kwa hili ndo Nimegundua Wapinzani either hawana akili au wapiga deal

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,471
23,744
Nmeshangaa sana kuona kuna wapinzani wanahamasisha wananchi wakajiandikishe ili waje kupiga kura. Nmewaza ina maana sasa wana uhakika wa ushindi?

Je ile kauli ya mh rais kuwa hawezi mvumilia mkurugenzi asiye na shukrani ambaye analipwa mshahara na yeye na gari anapewa halafu anakuja mtangaza mpinzani imefutwa?

Mimi naona uchaguzi huu ni wa kupoteza pesa ambazo zingefanya mambo ya msingi. Kwanini zipotezwe kizembe?uchaguzi halisi utakuwa ndani ya CCM kupitisha mgombea.

Atakayepita CCM ndiye atakayekuwa mshindi kama ni uenyekiti,udiwani,ubunge au urais. Hili lipo wazi halihitaji hata miwani kuliona.

Tunajiandikisha. Tutapiga kura. Nanyi mkubali matokeo.msilete tena habari za kuwa mmeibiwa kura kama vile ni kilio cha mara ya kwanza.maana mna dhani wote hatuna akili.
 
Uchaguzi una hatua mbalimbali, hii ya kujiandikisha ni mwanzo tu. Wacha zoezi liendelee baadae ukweli wa dhamira ovu ya hawa maharamia utadhihirika na kuwekwa wazi
 
Nafikiri wapinzani hasa hawa vijana wanaobweka mitandaoni akili zao ni finyu mno

Hawa hata ukikaa nao huwezi kuongea nao vitu vya msingi

Hivi kabisa mtu anayejitambua anaweza kukaa na kujadiliana na ww? Labda mtu anayeishi kwa kutegemea ajira ya serikali. Huyo Mbowe anayehimiza umma ukashiriki tendo la hujuma, hapo ndio kamaliza heshima yake yote iliyokuwa imesalia. Ngoja aone kama atapata kura zozote za maana hapo ndio atajua maslahi ya umma na maslahi binafsi ya chama ni kipi zaidi.
 
Hata mfumo wa vyama vingi wenyewe ulipatikana kwa dhulma tu baada ya maoni ya walio wengi kupitia tume ya Jaji Nyalali kuukataa Ila wakapuuzwa.

Vilivyopatikana kwa dhulma havijawi kuwa na amani au salama.
 
Uchaguzi una hatua mbalimbali, hii ya kujiandikisha ni mwanzo tu. Wacha zoezi liendelee baadae ukweli wa dhamira ovu ya hawa maharamia utadhihirika na kuwekwa wazi
Ina maana mpaka leo hii dhamira ovu bado haijajulikana?
 
Nmeshangaa sana kuona kuna wapinzani wanahamasisha wananchi wakajiandikishe ili waje kupiga kura. Nmewaza ina maana sasa wana uhakika wa ushindi?

Je ile kauli ya mh rais kuwa hawezi mvumilia mkurugenzi asiye na shukrani ambaye analipwa mshahara na yeye na gari anapewa halafu anakuja mtangaza mpinzani imefutwa?

Mimi naona uchaguzi huu ni wa kupoteza pesa ambazo zingefanya mambo ya msingi. Kwanini zipotezwe kizembe?uchaguzi halisi utakuwa ndani ya CCM kupitisha mgombea.

Atakayepita CCM ndiye atakayekuwa mshindi kama ni uenyekiti,udiwani,ubunge au urais. Hili lipo wazi halihitaji hata miwani kuliona.

Tunajiandikisha. Tutapiga kura. Nanyi mkubali matokeo.msilete tena habari za kuwa mmeibiwa kura kama vile ni kilio cha mara ya kwanza.maana mna dhani wote hatuna akili.
Kweli kabisaaa...
 
Nafikiri wapinzani hasa hawa vijana wanaobweka mitandaoni akili zao ni finyu mno

Hawa hata ukikaa nao huwezi kuongea nao vitu vya msingi
Huyo mume wako mzee Meko ndio ana akili???!!! Aliyetuma wanajeshi wakasombe korosho....aliyeamrisha Mererani ujengwe ukuta na bado watu wanaiba Tanzanite kama kawa...Aliyeamuru Tundu Lisu auawe kisa anamkosoa....aliyesema anajenga SGR kwa pesa za ndani wakati deni la taifa linazidi kukua....pole sana mzee wa praise&worship.
 
Nmeshangaa sana kuona kuna wapinzani wanahamasisha wananchi wakajiandikishe ili waje kupiga kura. Nmewaza ina maana sasa wana uhakika wa ushindi?

Je ile kauli ya mh rais kuwa hawezi mvumilia mkurugenzi asiye na shukrani ambaye analipwa mshahara na yeye na gari anapewa halafu anakuja mtangaza mpinzani imefutwa?

Mimi naona uchaguzi huu ni wa kupoteza pesa ambazo zingefanya mambo ya msingi. Kwanini zipotezwe kizembe?uchaguzi halisi utakuwa ndani ya CCM kupitisha mgombea.

Atakayepita CCM ndiye atakayekuwa mshindi kama ni uenyekiti,udiwani,ubunge au urais. Hili lipo wazi halihitaji hata miwani kuliona.

Tunajiandikisha. Tutapiga kura. Nanyi mkubali matokeo.msilete tena habari za kuwa mmeibiwa kura kama vile ni kilio cha mara ya kwanza.maana mna dhani wote hatuna akili.
Nasikia mnagawa kilo ya unga wa sembe na fungu la dagaa, ili watu wakjiandikishe
 
Waache washirikiane na kucheka na nyani tu. Mwaka 2020 wanavuna mabua tu. Kama hawajaona hilo ni wapumb*vu.
Nmeshangaa sana kuona kuna wapinzani wanahamasisha wananchi wakajiandikishe ili waje kupiga kura. Nmewaza ina maana sasa wana uhakika wa ushindi?

Je ile kauli ya mh rais kuwa hawezi mvumilia mkurugenzi asiye na shukrani ambaye analipwa mshahara na yeye na gari anapewa halafu anakuja mtangaza mpinzani imefutwa?

Mimi naona uchaguzi huu ni wa kupoteza pesa ambazo zingefanya mambo ya msingi. Kwanini zipotezwe kizembe?uchaguzi halisi utakuwa ndani ya CCM kupitisha mgombea.

Atakayepita CCM ndiye atakayekuwa mshindi kama ni uenyekiti,udiwani,ubunge au urais. Hili lipo wazi halihitaji hata miwani kuliona.

Tunajiandikisha. Tutapiga kura. Nanyi mkubali matokeo.msilete tena habari za kuwa mmeibiwa kura kama vile ni kilio cha mara ya kwanza.maana mna dhani wote hatuna akili.
 
Hata matokeo ya kura ya maoni ya Jaji Nyalali yalikuwa ya dhuluma tu. ulitegemea nini wakati wa chama kimoja?
Hata mfumo wa vyama vingi wenyewe ulipatikana kwa dhulma tu baada ya maoni ya walio wengi kupitia tume ya Jaji Nyalali kuukataa Ila wakapuuzwa.

Vilivyopatikana kwa dhulma havijawi kuwa na amani au salama.
 
Vijana wengi wahamasishaji maovu, hawajitambui utu wao na thamani yao hapa duniani. Na hii ni kutokana na uchanga wao wa kutoelewa nini maana ya siasa ya vyama vingi. Kwao siasa ni kama ushabiki wa mpira wa mguu, tumefugwa leo, kesho na sisi tutawafunga.

Ukihamasiaha watu wasijiandikishe kupiga kura ujuwe unashiriki kuchimba kaburi la vyama vilevile unavyovitetea usiku na mchana. Uhai wa hivyo vyama, unategemea sana idani ya madiwani na wenyeviti wa mitaa kuemdeleza sera zao.
 
Nafikiri wapinzani hasa hawa vijana wanaobweka mitandaoni akili zao ni finyu mno

Hawa hata ukikaa nao huwezi kuongea nao vitu vya msingi
Utakuwa mmoja wapo hapo, sasa utaongea na watu lipi la maana?
FB_IMG_1493651386663.jpeg
 
Nmeshangaa sana kuona kuna wapinzani wanahamasisha wananchi wakajiandikishe ili waje kupiga kura. Nmewaza ina maana sasa wana uhakika wa ushindi?

Je ile kauli ya mh rais kuwa hawezi mvumilia mkurugenzi asiye na shukrani ambaye analipwa mshahara na yeye na gari anapewa halafu anakuja mtangaza mpinzani imefutwa?

Mimi naona uchaguzi huu ni wa kupoteza pesa ambazo zingefanya mambo ya msingi. Kwanini zipotezwe kizembe?uchaguzi halisi utakuwa ndani ya CCM kupitisha mgombea.

Atakayepita CCM ndiye atakayekuwa mshindi kama ni uenyekiti,udiwani,ubunge au urais. Hili lipo wazi halihitaji hata miwani kuliona.

Tunajiandikisha. Tutapiga kura. Nanyi mkubali matokeo.msilete tena habari za kuwa mmeibiwa kura kama vile ni kilio cha mara ya kwanza.maana mna dhani wote hatuna akili.
Umenena ukweli, ss subiri cku ya uchaguzi km wataenda kupiga kura watapiga ccm pekee
 
Back
Top Bottom