When the presidents makes a statement it goes down with a huge impact 2 society.. Je ni kwel Tanzania kuna udini? Na kama upo,je ni kwa kiwango rais anachokishkia bango? Mbona yeye 2? Why? Je hal halis ya mahal ulipo na jamii inayokuzunguka maamuz yanafanyka kwa kuzngatia udini?
Mi kwa hili naona Mr. Jakaya kachemka,he is raising an issue out of nothng na anavokishkia bango inanijengea taswira mbaya kwa 2napoelekea..
Tanzania haina ubaguz wa kidini,na kwa sehem kubwa haifany maamuz based on religion! Mz mkubwa anapokomalia ishu km hii naona ni upotofu kwa jamii na kinapaswa kupigiwa kelele kwa nguvu zote! Haiwezekani m2 m1 kuanzisha matabaka,haiwezekani 2mwache aendelee kueneza hii sumu..
kwa sehem kubwa ya watanzania wasioamini ktk udini,je rais haoni km anaamsha hisia za kdin katka jamii? Hatzami madhara yatakayojitokeza if kila decision inayofanywa na serikali itatazamwa ktk sura ya udini? Rais Kikwete aache longolongo,hiv cvyo nchi inavoendeshwa na pengine rais anajarbu kujenga hoja hii potofu kwa maslah bnafsi na chama chake!
Maon yangu hil lapaswa kutizamwa kwa jicho la 3,na kukemewa kwa nguvu zote lisiendelee!
I stand 2b corected!!
Mi kwa hili naona Mr. Jakaya kachemka,he is raising an issue out of nothng na anavokishkia bango inanijengea taswira mbaya kwa 2napoelekea..
Tanzania haina ubaguz wa kidini,na kwa sehem kubwa haifany maamuz based on religion! Mz mkubwa anapokomalia ishu km hii naona ni upotofu kwa jamii na kinapaswa kupigiwa kelele kwa nguvu zote! Haiwezekani m2 m1 kuanzisha matabaka,haiwezekani 2mwache aendelee kueneza hii sumu..
kwa sehem kubwa ya watanzania wasioamini ktk udini,je rais haoni km anaamsha hisia za kdin katka jamii? Hatzami madhara yatakayojitokeza if kila decision inayofanywa na serikali itatazamwa ktk sura ya udini? Rais Kikwete aache longolongo,hiv cvyo nchi inavoendeshwa na pengine rais anajarbu kujenga hoja hii potofu kwa maslah bnafsi na chama chake!
Maon yangu hil lapaswa kutizamwa kwa jicho la 3,na kukemewa kwa nguvu zote lisiendelee!
I stand 2b corected!!