Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Katika vita yeyote ile ni kosa la jinai kufanya tendo lolote linalo imarisha mshikamano ndani ya kambi ya adui. Hii inatokana na ukweli kwamba adui wanapoanza kuzozana wao kwa wao wanatoa fursa nzuri kwa upande wa pili kuwatokomeza.
Kosa la aina hiyo ndilo alilofanya Dr. Slaa huko Tabora alipotoa nyongeza kwenye orodha ya mafisadi papa, na vile vile alipomtaja mtoto wa JK ya kuwa anao utajiri mkubwa usioelezeka. Madai hayo yamesababisha uongozi wa juu wa CCM, usitishe hatua uliokusudia kuwachukulia mapacha watatu, kwa lengo la kuepusha upanuaji wa uwanja wa mapambano.
Katika hali hiyo kauli hizo za daktari zimesaidia kuepusha mfarakano mkubwa ndani ya CCM, jambo ambalo lingelisogeza karibu kusambaratika kwa chama hicho.
Kosa la aina hiyo ndilo alilofanya Dr. Slaa huko Tabora alipotoa nyongeza kwenye orodha ya mafisadi papa, na vile vile alipomtaja mtoto wa JK ya kuwa anao utajiri mkubwa usioelezeka. Madai hayo yamesababisha uongozi wa juu wa CCM, usitishe hatua uliokusudia kuwachukulia mapacha watatu, kwa lengo la kuepusha upanuaji wa uwanja wa mapambano.
Katika hali hiyo kauli hizo za daktari zimesaidia kuepusha mfarakano mkubwa ndani ya CCM, jambo ambalo lingelisogeza karibu kusambaratika kwa chama hicho.