Nabii kibonge
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 277
- 308
Hivi ndivyo ilivyo inapita miaka mingi, yanatokea mabadiliko mengi lakini mpira ni ule ule, either ushindi au lose bado ni vile vile. Na muhimu zaidi ni kila zama na watu wake na katika zama hizi ni ukweli kabisa soka limetawaliwa na miamba kama kina Lionel Messi.
Ni kawaida kuwasikia mashabiki wakisifia vilivyo kipaji cha gwiji wa soka toka Argentina wengine wakidiriki kumwita G.O.A.T kwa maana kwamba Greatest of All The Time. Kimakonde tuseme mchezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea.
Yawezekana Messi atakuwa anastahili kuitwa G.O.A.T kutokana na mitazamo mbalimbali lakini katika pita pita zangu nilijaribu kurejea baadhi ya mambo kama ifuatavyo
Binafsi mimi ni muumini wa real perfomance na impact ya mchezaji akiwa on the pitch na sio muumin mkubwa wa tuzo mbalimbali za kupima ubora wa wachezaji ikiwemo ballon d or. Japokuwa ni kweli ballon d or inatokana na perfomance ya mchezaji hivyo vinahusiana lakini ni swala lililo wazi kuhusu dought mbali mbali za ugawaji wa tuzo hizo (mfano Shevchenko 2004, Ronaldo 2013 , Messi 2010 na 2012 niishie hapo kwa leo)
1. Takwimu za messi katika campaigns za La liga 2019/2020. Messi amemaliza akiwa na magoli 25 na assist 21, kiukweli ni perfomance ya hali ya juu lakini ukichunguza kiundani utajua how stats can fool you.
Katika magoli 25 ya messi, magoli 20 amezifunga timu zilizo chini ya nafasi ya 10 (11-20) hii ni 80% ya magoli yake yote
Katika magoli yake 5 hayo aliyozifunga timu( Atletico madrid(2), sevila ,Granada ,Sociedad, kubwa ni mawili tu (2) aliyofunga open space huku hayo mengine ni kupitia set pieces (penalties 2 zikiwemo ( atletico na sociedad))
Ni ukweli usiopingika katika msimu huu messi kafunga magoli yaliyoweza kuamua mchezo( game wining goals) jumla ya 6. Wakati huo huo Neymar miguu ya glasi anatakwimu kubwa zaidi ya hiyo (7) Lewandowski 12, Ronaldo 10.
Messi amemaliza na jumla ya assist 21 huku assist 4 zimetokana na freeckicks, 5 ni back pasees ( jumla ya open space assist ni 15) huku akiwa na avarage ya key passes 2.7 per game.Ni kweli messi ni player maker mkubwa lakini kaachwa mbali na playermakers kama KDB (3.9) Luiz Alberto (3.0) Thomas Muller na wengine wengi
Achana na hilo tuhamie UEFA, katika msimu huu wa 2019/2020 huku ukiwa unaelekea mwaka wa 5 bila ya barcelona kutwaa kombe hilo pia ndani ya miaka 9 barcelona wikiwa wametwaa mara moja tofauti na ilivyokuwa miaka 10 ya nyuma kwani wametwaa taji hilo mara 3. Pia ni wazi ubingwa wa 2015 kila mmoja anaefuatilia soka anajua mchango wa neymar.
Lionel messi katiga group stage ana jumla ya magoli 68 katika mechi 72. Na katika level ya knock out hadi fainali ana jumla ya magoli 46 katika mechi 69 Ni ukweli usiopingika tumeshuhudia Messi akishindwa kuinusuru timu yake dhidi ya As Roma (2018/2019) Liverpool (2017/2018) pia Juventus (2016/2017)na Atletico Madrid
Swali langu je Lionel messi ni mchezaji wa Timu ndogo tu??( Anaonesha ubora wake akiwa anacheza na timu ndogo tu na katika mashindano madogo ikiwemo ligi na sio UEFA au World Cup)
Ni wazi kila mtu anajua jinsi Pele na Maradona walivoonesha ubora wao bila kujali timu walizokuwa nazo
Pele akiiongoza timu yake ya brazil 1958 kuchukua kombe la dunia. Timu ambayo ilishindwa kufanya vema 1950 na hata 1954 dhidi ya Hungary huku wakiwemo wachezaji mahiri kama Zitto pia Nilton Santos lakini ingizo jipya la Pele mwaka 1958 ndio lililofungua mwanga kwa brazil kwani katika nusu fainali pele akiwa na umri wa miaka 17 aliweza kupiga hattrick dhidi ya Ufaransa na katika kumchabanga sweden Goli 5-2 pele alifunga goli 2 na assist juu ( shukrani kwa mario zagallo na vava kwa magoli ya ushindi) ni wazi tumeona pele wa miaka 17 alikuwa chachu ya ushindi wa brazil(kombe la dunia) na pia si mchezaji wa timu ndogo
1986 Nani asiyejua mchango wa diego maradona. Katika Argentina ya 1986 unamjua nani zaidi ya maradoan. Buruchuga??? Ni wazi bao 2 za maradona dhidi ya waingereza ni chukizo la mda wote kwa waingereza.Achana na mafanikio ya maradona timu ya taifa.
Ni Maradona huyu huyu aliehama toka barcelona na kwenda Club ya Napoli ambayo haikuwa na taji lolote na ilikuwa kwenye hali mbaya ( usifananishe na Ronaldo kwenda Juventus) huku akichangia kiasi cha pesa yake mfukoni kukamilisha usajili huo. Maaajabu ni kwamba baada ya ujio wa maradona Club hio ilitwaa mataji yafuatayo
- UEFA CUP 1989
- SERIE A 1987, 1990
-Coppa Italia 1987
-SUPER COPA ITALIANA 1990
Napoli haikuwahi kushinda Serie A kabla, Napoli haikuwahi kushinda Uefa cup kabla na hadi sasa hawajawahi kushinda toka diego Maradona aondoke( hicho ni kipimo cha jinsi club hiyo ilivyokuwa ndogo). Pia Maradona aliondoka Club hio akishikilia rekod ya mfunganji bora wa mda wote iliyokujwa kuvunjwa juzi juzi hapa (2015-)
Je Messi anaweza kwenda club ndogo isiyofahamika na kufanya makubwa yote hayo? Anaweza kwenda Newcastle united na mambo yakawa hivyo hivyo???
Mwisho mashabiki wa messi kama kawaida yao watakimbilia kwenye ubora wa kupiga faulo wakijisahaulisha kuwa messi hata kwa Ronaldo hajamfkia Je tutamfananisha na Juninho Penambucano????? Kamuulize Oliver khan na bayern yake au Barcelona wanamjua vizuri
Kuhusu national team sina ya kuongea maana hamna kingino zaidi ya buyu(0) kwa international trophies
Je messi ni mchezaji wa mechi ndogo( anaonesha perfomance kwenye timu ndogo au mashindano madogo tu?)
Je messi anastahili kuitwa G.O.A.T????
Ni kawaida kuwasikia mashabiki wakisifia vilivyo kipaji cha gwiji wa soka toka Argentina wengine wakidiriki kumwita G.O.A.T kwa maana kwamba Greatest of All The Time. Kimakonde tuseme mchezaji bora wa mpira wa miguu kuwahi kutokea.
Yawezekana Messi atakuwa anastahili kuitwa G.O.A.T kutokana na mitazamo mbalimbali lakini katika pita pita zangu nilijaribu kurejea baadhi ya mambo kama ifuatavyo
Binafsi mimi ni muumini wa real perfomance na impact ya mchezaji akiwa on the pitch na sio muumin mkubwa wa tuzo mbalimbali za kupima ubora wa wachezaji ikiwemo ballon d or. Japokuwa ni kweli ballon d or inatokana na perfomance ya mchezaji hivyo vinahusiana lakini ni swala lililo wazi kuhusu dought mbali mbali za ugawaji wa tuzo hizo (mfano Shevchenko 2004, Ronaldo 2013 , Messi 2010 na 2012 niishie hapo kwa leo)
1. Takwimu za messi katika campaigns za La liga 2019/2020. Messi amemaliza akiwa na magoli 25 na assist 21, kiukweli ni perfomance ya hali ya juu lakini ukichunguza kiundani utajua how stats can fool you.
Katika magoli 25 ya messi, magoli 20 amezifunga timu zilizo chini ya nafasi ya 10 (11-20) hii ni 80% ya magoli yake yote
Katika magoli yake 5 hayo aliyozifunga timu( Atletico madrid(2), sevila ,Granada ,Sociedad, kubwa ni mawili tu (2) aliyofunga open space huku hayo mengine ni kupitia set pieces (penalties 2 zikiwemo ( atletico na sociedad))
Ni ukweli usiopingika katika msimu huu messi kafunga magoli yaliyoweza kuamua mchezo( game wining goals) jumla ya 6. Wakati huo huo Neymar miguu ya glasi anatakwimu kubwa zaidi ya hiyo (7) Lewandowski 12, Ronaldo 10.
Messi amemaliza na jumla ya assist 21 huku assist 4 zimetokana na freeckicks, 5 ni back pasees ( jumla ya open space assist ni 15) huku akiwa na avarage ya key passes 2.7 per game.Ni kweli messi ni player maker mkubwa lakini kaachwa mbali na playermakers kama KDB (3.9) Luiz Alberto (3.0) Thomas Muller na wengine wengi
Achana na hilo tuhamie UEFA, katika msimu huu wa 2019/2020 huku ukiwa unaelekea mwaka wa 5 bila ya barcelona kutwaa kombe hilo pia ndani ya miaka 9 barcelona wikiwa wametwaa mara moja tofauti na ilivyokuwa miaka 10 ya nyuma kwani wametwaa taji hilo mara 3. Pia ni wazi ubingwa wa 2015 kila mmoja anaefuatilia soka anajua mchango wa neymar.
Lionel messi katiga group stage ana jumla ya magoli 68 katika mechi 72. Na katika level ya knock out hadi fainali ana jumla ya magoli 46 katika mechi 69 Ni ukweli usiopingika tumeshuhudia Messi akishindwa kuinusuru timu yake dhidi ya As Roma (2018/2019) Liverpool (2017/2018) pia Juventus (2016/2017)na Atletico Madrid
Swali langu je Lionel messi ni mchezaji wa Timu ndogo tu??( Anaonesha ubora wake akiwa anacheza na timu ndogo tu na katika mashindano madogo ikiwemo ligi na sio UEFA au World Cup)
Ni wazi kila mtu anajua jinsi Pele na Maradona walivoonesha ubora wao bila kujali timu walizokuwa nazo
Pele akiiongoza timu yake ya brazil 1958 kuchukua kombe la dunia. Timu ambayo ilishindwa kufanya vema 1950 na hata 1954 dhidi ya Hungary huku wakiwemo wachezaji mahiri kama Zitto pia Nilton Santos lakini ingizo jipya la Pele mwaka 1958 ndio lililofungua mwanga kwa brazil kwani katika nusu fainali pele akiwa na umri wa miaka 17 aliweza kupiga hattrick dhidi ya Ufaransa na katika kumchabanga sweden Goli 5-2 pele alifunga goli 2 na assist juu ( shukrani kwa mario zagallo na vava kwa magoli ya ushindi) ni wazi tumeona pele wa miaka 17 alikuwa chachu ya ushindi wa brazil(kombe la dunia) na pia si mchezaji wa timu ndogo
1986 Nani asiyejua mchango wa diego maradona. Katika Argentina ya 1986 unamjua nani zaidi ya maradoan. Buruchuga??? Ni wazi bao 2 za maradona dhidi ya waingereza ni chukizo la mda wote kwa waingereza.Achana na mafanikio ya maradona timu ya taifa.
Ni Maradona huyu huyu aliehama toka barcelona na kwenda Club ya Napoli ambayo haikuwa na taji lolote na ilikuwa kwenye hali mbaya ( usifananishe na Ronaldo kwenda Juventus) huku akichangia kiasi cha pesa yake mfukoni kukamilisha usajili huo. Maaajabu ni kwamba baada ya ujio wa maradona Club hio ilitwaa mataji yafuatayo
- UEFA CUP 1989
- SERIE A 1987, 1990
-Coppa Italia 1987
-SUPER COPA ITALIANA 1990
Napoli haikuwahi kushinda Serie A kabla, Napoli haikuwahi kushinda Uefa cup kabla na hadi sasa hawajawahi kushinda toka diego Maradona aondoke( hicho ni kipimo cha jinsi club hiyo ilivyokuwa ndogo). Pia Maradona aliondoka Club hio akishikilia rekod ya mfunganji bora wa mda wote iliyokujwa kuvunjwa juzi juzi hapa (2015-)
Je Messi anaweza kwenda club ndogo isiyofahamika na kufanya makubwa yote hayo? Anaweza kwenda Newcastle united na mambo yakawa hivyo hivyo???
Mwisho mashabiki wa messi kama kawaida yao watakimbilia kwenye ubora wa kupiga faulo wakijisahaulisha kuwa messi hata kwa Ronaldo hajamfkia Je tutamfananisha na Juninho Penambucano????? Kamuulize Oliver khan na bayern yake au Barcelona wanamjua vizuri
Kuhusu national team sina ya kuongea maana hamna kingino zaidi ya buyu(0) kwa international trophies
Je messi ni mchezaji wa mechi ndogo( anaonesha perfomance kwenye timu ndogo au mashindano madogo tu?)
Je messi anastahili kuitwa G.O.A.T????