Nabii kibonge
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 277
- 308
- Thread starter
- #21
Toa point acha taarabUkiwa kibonge sana unajikuta unatumia tumbo zaidi kufikiri kuliko kichwa.
Hili linaweza kuwa ndiyo tatizo la huyu Nabii kibonge
Toa point acha taarabUkiwa kibonge sana unajikuta unatumia tumbo zaidi kufikiri kuliko kichwa.
Hili linaweza kuwa ndiyo tatizo la huyu Nabii kibonge
Nikukumbushe tu huu ni mwaka wa 5 barcelona na messi wake hawana uefa na shida ni dafeat from teams like Liverpool Roma na Juve Na Atletico madrid kama messi angekuwa na great perfomance dhidi ya timu kama hizi nafkiri tungeshuhudia uefa hata 1 isitoshe 2015 unajua ukwel bila neymar wasingeshinda na bado sionei 2011 na 2009Tutajie hizo timu kubwa ambazo hadi zifungwe na Messi ndiyo umkubali.
Mkuu kuhusu boateng naona hama point apo kwamba kupigwa kijoka cv inashuka? Nafkiri unalifahamu goli maarufu la Jay Jay Agustin Okocha dhidi ya Oliver khan alivochukukiwa niambie ulisikia wapi heshima ya oliver khan imeshuka?????? Sitaki kuongea bao la diego maradona alivyosepa na kijiji toka katikati ya uwanja dhidi ya ujerumani apo vipi tena??????? Bado kina Gaucho so sioni point yakoMkuu hiyo dought ulimaanisha doubt au?
Tukiachana na hayo mimi pia huwa siamini kwenye stats inapokuja suala la football.
Messi kama Messi ameshaidhihirishia dunia kuwa yeye ni hatari kwa kufunga michezo mikubwa kama two finals against Man U ikiwemo game iliyochezwa Wembley chini ya Mabeki kama kina Ferdinand na Nemanja Matic...Ndiye mchezaji anaongoza kuifunga Madrid ambayo ni timu bora kuwahi kutokea tangu kuanzishwa kwa mpira...mbaya zaidi ameifunga Madrid even kipindi kuna beki zenye roho mbaya kama Pepe na Sergio Ramos...Kuhusu Jerome Boateng CV yake ilishushwa na Messi huyo huyo akiifunga Bayern sina shaka unaujua ubora wao...any way tuachane na hizo maana nazo ni stats ila nikukumbusha tu huyu jamaa anafunga timu kubwa kuliko mchezaji yeyote niliyewahi kumshuhudia.
Mwaka 2010 Winfrey Schneider alikuwa akiclaim tuzo ya uchezaji bora as alikua na Uefa Cup pia alikua Finalist wa Worlcup...Zlatan Ibrahimovic alimuuliza Schneider kwamba ana uhakika anajua kuliko Messi?
Swali ambalo napenda ujiulize nafsini mwako mtoa mada bila ya hizo stats una uhakika hao unaowashindanisha na Messi wanajua kuliko Messi? Messi ambaye tunajua ni floppy lakini anahusika kwenye goal 40+?
Mwisho napenda kukumbusha kwamba Napoli haiwezi kumlipa Messi zama zimebadilika alichoapply Maradoma can't be applicable in a modern football unless aende kustaafu huko Napoli.
Sawa shinda mechi ndogo ila unadhani UEFA utachukua kwa kuzifunga hizo timu ndogo???Sir ALEX Ferguson aliwahi kusema ukitaka kushinda ligi hakikisha hizi mnazoita timu ndogo ukikutana nazo unapiga unachukua point unatulia,,, hawa wakubwa wewe tafuta draw au shinda.
Sasa kuna tabu gani messi akifunga hizo timu ndogo lkn hapo hapo Barca ikifungwa mnageuza kibao barca imeisha inafungwa na timu inayoshika mkia. Ni kweli barca ipo kipindi kigumu na kama vile generation yao imeisha sasa.
Katika iyo 5 0 messi hakufunga goli lolote angalia data yako vizurMkuu Nemanja Matic ~ Nemanja Vidic apo utakuwa umechanganya, hata hivyo ulikuwa unaona messi anacheza barcelona ya aina gani na hata magoli aliyoshinda mwenyewe umeyaona hata Goroud angeshinda compare Zidane (1998&2002) Isitoshe hata ronaldo tu
Swala la Wesley Sneidjer ( umekosea kuandika) , mkuu kwani zlatan ni nani katika soka? Kwamba akiongea ndio kaongea au? Ballon d or inatolewa kwa mchezaji aliyeperfom vizuri kwa msimu au mwaka husika na sio permenent mfano mdogo tu Michael Owen kachukua balon d or 2001 unataka kusema alikuwa bora kuliko Gaucho, De lima , Zidane, Nedved au?????? 2010 Sneidjer alikuwa na mafanikio yafuatayo
-UEFA CHAMPONS LEAGUE ( akiwa yeye ni kinara wa assist ikiwemo assist 2 za fainali alizompa diego milito)
(Kumbuka hap hao inter waĺimtoa barca kwenye knockout)
- kashinda Sarie A na Coppa Italia kiujumla na UEFA tunasema TREBLE
- Reaching world cup Final huku akiwa na magoli 5 na man o the match 4 ikiwemo mechi waliyowatoa brazil ya kina ricardo kaka
-messi msimu wa 2010 aliishia kuvaa medali ya La Liga tu hata copa del rey hakunusa af bado unataka kusema nini mkuu?
Halafu pia kama unaongelea El clasico ni wazi messi kacheza mechi nyingi za el classico so lazima tuexpect atakuwa na magoli mengi hata hivyo ukichunguza utajua mengi ni ya 2015- kurudi nyuma ikiwemo 5-0 ile madrid mbovu ya morinho hata ivyo ukisema.
Sijakuelewa mkuu, mpira umebadilika nini siku hizi mkuu hadi jambo alilofanya maradona lishindikane?? Kama ni mabeki unaowataja kina ramos hata miaka hiyo walikwepo, kumbuka maradona kacheza dhidi Maldini na Baressi na Costarcuta wakiwa upande wa ac milan huo ni ukuta ulioruhusu magoli machache kuwahi kutokea bado kacheza na west Germany yenya watu kama kina Lothar Matthaus na Karl Heinz Rumennige ( tembelea list ya ballon d or utawaona) sasa nini kimebadilika mkuu???
Messi kiwango chake kimeshuka sana
Hujui mpira kijana... comeback imepgwa 2017 na sio 2015... kua makin na data zakoHahahhahah msaidieni huyu jamani
Ni kweli hakufunga ila nasemea madrid ilikuwa shake kipindi hicho isitoshe hata kabla ya hapo kwani madrid ilikaa zaidi ya miaka 9 bila uefa na kwenye ligi bado ilikuwa tabu tupuKatika iyo 5 0 messi hakufunga goli lolote angalia data yako vizur
Nmekosea apo mkiu nshafixLabda nkukumbushe tu barca baad ya kufanya iyo comeback hatua ilofata alkutana na Juventus akala 3-0 on aggregate sasa huo ubingwa albeba vp akat altoa robo? na 2015 unasomea ndo barca alkua bngwa na almpga huyohuyo juve
Shake af una Ronaldo,Ozil,Khedira,Ramos na wengn kbao??Ni kweli hakufunga ila nasemea madrid ilikuwa shake kipindi hicho isitoshe hata kabla ya hapo kwani madrid ilikaa zaidi ya miaka 9 bila uefa na kwenye ligi bado ilikuwa tabu tupu
Usiwe mbishi siku nyingne wengne soka ndo chakula chetu limelala apa hundanganyi kituNmekosea apo mkiu nshafix
Lakini mkuu huoni jinsi anavyoimbiwa mapambio na mashabiki wake kwamba kila kitu ni yeye. Ifike hatua tuseme tu ukweli jamaa kadrop kiukweliSasa mkuu miaka 33 hawezi kufanana na umri wa 20+
Hata madrid ya Figo, Zidane , De Lima, Guti ilifanya nini mkuu? Kuwa na watu sio case bado umesahau kina Falcao di maria Depay na Rojo( enzi hizo toka argentina) ilifanya nini?Shake af una Ronaldo,Ozil,Khedira,Ramos na wengn kbao??
Sawa point yako nini data correction kitu cha kawaida kila mtu anakosea af kukosea info 1 kati ya 1000 haimaanishi hujui mzee.Usiwe mbish cku nyngne wengne soka ndo chakula chetu limelala apa hundangany ktu
ndo useme haikua shake sem wachzj walshndwa kucommitHata madrid ya Figo, Zidane , De Lima, Guti ilifanya nini mkuu? Kuwa na watu sio case bado umesahau kina Falcao di maria Depay na Rojo( enzi hizo toka argentina) ilifanya nini?