HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
kupitia taarifa ya habari iliyorushwa na kituo cha ITV nimemsikia Mbunge huyo akitoa maneno yafuatayo ktk harakati zake za kuomba kura kwa wanaCCM ktk ngazi ya uenyekiti anayoigombea.Namnukuu.
"Wananchi wa Longido mnatakiwa mtambue kuwa nafasi hii ninayoigombea haina maslahi kwangu kimaslahi ila ninachokihitaji ni kurudisha hadhi ya chama ambacho ni mimi ndiye niliyekifikisha hapa kilipo,Mnakumbuka kuwa hata hii wilaya ya Longido ni mimi ndiye niliyeipigania mpaka tumepata halmashauri hapa ata kama HAIKUWA NA VIGEZO VYA KUWA HIVYO".
MY TAKE: Hii ndio serikali yetu,hautaji Degree kuamini kuwa mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo yanayofanyika hayazingatii vigezo bali ni utashi tu wa watawala ktk kuangalia ni jinsi gani watatoa fadhira zao kwa watu fulanifulani ktk chama chao.Kuna sehemu nyingi sana hapa nchini zina kila vigezo zinazostahili kuitwa wilaya,mkoa ama Manispaa lakini hazifanywi hivyo kutokana na kutokuwa na makada ama viongozi maarufu wanaotokea sehemu hizo.Tumekusikia Leiza na asante kwa kuonyesha madudu ya serikali yetu.
MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TZ.
"Wananchi wa Longido mnatakiwa mtambue kuwa nafasi hii ninayoigombea haina maslahi kwangu kimaslahi ila ninachokihitaji ni kurudisha hadhi ya chama ambacho ni mimi ndiye niliyekifikisha hapa kilipo,Mnakumbuka kuwa hata hii wilaya ya Longido ni mimi ndiye niliyeipigania mpaka tumepata halmashauri hapa ata kama HAIKUWA NA VIGEZO VYA KUWA HIVYO".
MY TAKE: Hii ndio serikali yetu,hautaji Degree kuamini kuwa mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo yanayofanyika hayazingatii vigezo bali ni utashi tu wa watawala ktk kuangalia ni jinsi gani watatoa fadhira zao kwa watu fulanifulani ktk chama chao.Kuna sehemu nyingi sana hapa nchini zina kila vigezo zinazostahili kuitwa wilaya,mkoa ama Manispaa lakini hazifanywi hivyo kutokana na kutokuwa na makada ama viongozi maarufu wanaotokea sehemu hizo.Tumekusikia Leiza na asante kwa kuonyesha madudu ya serikali yetu.
MUNGU IBARIKI AFRIKA,MUNGU IBARIKI TZ.