kwa hili makamba alipiga bao

muonamambo

JF-Expert Member
Sep 3, 2010
875
545
Makamba alijuwa wazi uwezi shiriki ufisadi na ukaweza utetea. ndio maana alipiga marufuku ccm kushiriki midahalo. wenyewe tumejionea jinsi CUF/ccm b walivyojikanyaga kwenye mdahalo.ukishirikiana na fisadi nawe ni fisadi tu
 
Back
Top Bottom