Kwa hili la walimu wa english, serikali iache utani

Fundisha kadiri ya pesa wanayokulipa, wanaobaki watasoma kwa "laisi" huo muda unaobaki tengeneza ice cream za kuwauzia maana serikali haiwajali tena...
Noted mkuu!!
But Ice cream mpaka kiangaz, huku kwetu masika hawatumii ice cream
 
Mkuu kwahiyo niwe mpole nisubiri kanusho....

"Siokweli kwamba nilisema nikweli tunaajiri walimu wa sayansi tu....." Haaa haaa haa

I love this country

Haitafka tarehe 10 January utasikia hilo kanusho hafu wananyamaza tena mpaka Feb ndo wanatoa TAMKO hafu wanakuja kukanusha tena, mpaka tutafka tu bajet ijayo,

Hii ni serikali uchwara ambayo ni babaishi na inaongoza kwa matukio na mihemko nasio ufanisi tena kama ilivyo awali!

Hakuna kipya na hakna la maana, hz ni comedian yabd tujtahd kusubr miendelezo!
 
Nani amekwambia tunafundisha kiswangilsh, na njaa gani unayosema mkuu? We unajua mimi nafundisha wapi?
Sorry mkuu ninamanisha njaa kwa watoto wetu wenyewe,na kuhusu kiswanglish bado naamini hivyo maana mwalimu mwenyewe anakuwa na vokabulari ya kuokotezea sasa mtoto ataelewaje?labda kama wewe umebobea sawa ila wengi hapana.
 
Apewe english coz ni media of instruction katika masomo yote except kiswahili ili ayaelewe na masomo mengine ikiwemo na geog
 
Du!! Umenikumbusha ile story ya miti kukatwa na binadamu, ambapo mti mmoja mjanja ulisema mwenzao anayetumika kama mpini wa shoka anawasaliti !!
 
Labda tunalipa kisasi kwa sababu sisi tuliofundisha sayansi miaka ile tulidharauliwa. Wakati ni wetu na sisi kuwafunza adabu.
 
Uongoz wa visasi na chuki ni uongoz uchwara na wakiahamba tu! Uongoz wa haki ni ule utoao haki kwa wahtaj haki!

Binafs cpend namna ilivyo ya uongoz huu wa matamko na MAKANUSHO huku mbele hatusongi,
 
Back
Top Bottom