Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,226
- 4,730
Narudia kukuambia ndugu msomi, HUJUI KITU!...tembea uone!Serikali haiwez kuwa na EFD za kukusanyia mapato kama simu kwamba huyu tunampa ya tochi mwingine ya kuslidie!!hakuna mifumo ya namna hyo hata huko unakokisema.Zaid kinachoweza kufanyika ni kusubsidize ili watu wa chini waweze kuzipata kwa bei nafuuu!!
Stop advertising your foolishness!!!