wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,454
- 4,376
Imekuwa kawaida kwa polisi kuandika maelezo ya walalamikaji au watuhumiwa kama kielelezo cha maandishi.
je ni halali polisi kuandika maelezo ya mlalamikaji au mtuhumiwa ambaye anajua kusoma na kuandika kama kielelezo?
je polisi wanapo andika vielelezo hivyo vya maandishi hawawezi kuharibu au kupindisha ukweli?
Nakaribisha michango yenu
je ni halali polisi kuandika maelezo ya mlalamikaji au mtuhumiwa ambaye anajua kusoma na kuandika kama kielelezo?
je polisi wanapo andika vielelezo hivyo vya maandishi hawawezi kuharibu au kupindisha ukweli?
Nakaribisha michango yenu