Death of orphan
Member
- Aug 18, 2012
- 17
- 2
Ni siku ya ijumaa ambapo makarani wa sensa halmashauri ya manispaa ya Musoma walipokutana kupokea posho ya kazi ya sensa. Makaran kwa uvumilivu wao wamepewa pesa mida ya Saa kumi na moja wakikuta pesa imeongezeka tofauti na mkataba unavyoonyesha. Pesa hiyo ni shilingi 7000 kwa kila karani.
Makarani hao walipo jaribu kuhoji imetoka wapi hiyo pesa mara wanaambiwa ni pesa ya usafiri kipindi cha SEMINA wakiendelea kuhoji kama ni nauli ilikua wap kipindi cha semina na kwa nini watu wa DODOSO REFU na FUPI walipwe sawa huku siku za semina DODOSO REFU zilikua kumi na moja na DODOSO REFU siku saba, wakihoji kama ni pesa ya naul kwa hesabu zipi wamepata elfu sama.
Mara zikazuka tetesi kwamba ni Agizo kwa halmashauri ziwalipe makarani pesa hizo kwa ajili ya kujaza DODOSO LA JAMII. Kwa kua hii pesa haipo kwenye mikataba kuna walakini wa UCHAKACHUAJI na kama si hivyo basi muandaaji wa mkataba wa Taasisi ya takwimu hakua makini na kukosa umakini huo kama si kulindana afukuzwe kazi kwa kuchochea fujo nchini na kuwa kikwazo cha zoezi la sensa 2012.
Makarani wa sensa jana walisubiri pesa kuanzia saa tatu akhsubuhi na kuanza kulipwa saa 12 jioni bado kuna vifa vya kazi havijatolewa kwa taarifa kutoka kwa mratibu wa sensa manispaa ya musoma anasema jana ilikua ndege ija na hivyo vifaa kama uniform, vitambulisho, na mabegi maalumu ya kubebea madodoso. Naomba kuwasilisha.
Makarani hao walipo jaribu kuhoji imetoka wapi hiyo pesa mara wanaambiwa ni pesa ya usafiri kipindi cha SEMINA wakiendelea kuhoji kama ni nauli ilikua wap kipindi cha semina na kwa nini watu wa DODOSO REFU na FUPI walipwe sawa huku siku za semina DODOSO REFU zilikua kumi na moja na DODOSO REFU siku saba, wakihoji kama ni pesa ya naul kwa hesabu zipi wamepata elfu sama.
Mara zikazuka tetesi kwamba ni Agizo kwa halmashauri ziwalipe makarani pesa hizo kwa ajili ya kujaza DODOSO LA JAMII. Kwa kua hii pesa haipo kwenye mikataba kuna walakini wa UCHAKACHUAJI na kama si hivyo basi muandaaji wa mkataba wa Taasisi ya takwimu hakua makini na kukosa umakini huo kama si kulindana afukuzwe kazi kwa kuchochea fujo nchini na kuwa kikwazo cha zoezi la sensa 2012.
Makarani wa sensa jana walisubiri pesa kuanzia saa tatu akhsubuhi na kuanza kulipwa saa 12 jioni bado kuna vifa vya kazi havijatolewa kwa taarifa kutoka kwa mratibu wa sensa manispaa ya musoma anasema jana ilikua ndege ija na hivyo vifaa kama uniform, vitambulisho, na mabegi maalumu ya kubebea madodoso. Naomba kuwasilisha.