Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Hatuwezi kuhalalisha mambo yetu kwa sisi kuendeleza mambo mabaya. Kwa kuwa Americans are criminals basi na sisi tuendeleze unyama na uadui kwa wapinzani wetu.Wewe ulitaka wawe na bunduki ngapi ili ndo ujue kuwa ni majambazi??
Au ulitaka wauawe police wangapi ndo ujue kuwa hiyo bunduki moja inaweza kuua??
Wangefanikiwa kufanya tukio lao la kijambazi kwa kutumia hiyo bunduki moja wangeua na kupora mali za watu wangapi??
Okay wao walio staarabika na kutendeana haki ndio pekee wenye ruhusa ya kujitoa kwenye mahakama ya kimataifa ICC ili wasiangaliwe kwa lolote ila wewe huku ambaye bado hujawa binadam kamili ndio ubaki huko.
Pia kwao wao ni ruhusa kufanya chochote nchini kwako ila wewe kwao si ruhusa huo ndio ustarabu sivyo?
Upinzani si uadui bali ni sera tofauti .
Tukikubali kuambizana ukweli , kuyaona matatizo yetu yalipo na kuyatatua tutakuwa jamii iliyostaarabika bila kusubiri hao wazungu kutusaidia kuzitatua . Umungumutu hautatusaidia, utaharibu tu