President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa, amekiaibisha chama tawala kwa kuhusishwa na tuhuma za kutumia vibaya madaraka, akiwa mwenyekiti wa bodi chini ya wizara ya maliasili na utalii.
Inabidi aachie ngazi ili kurudisha imani kwa wana-CCM, na imani ya wananchi kwa serikali yao.
Inabidi aachie ngazi ili kurudisha imani kwa wana-CCM, na imani ya wananchi kwa serikali yao.