Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
Magufuli wazungu watazidi kumwogopa sana. Sifa yake kubwa nyingine ambayo watu hawajai-assess vya kutosha ni kutowababaikia wazungu kwamba anaweza kufungwa kwenda nje ya nchi kama viongozi wengine wanavyofanyiwa. Wakijidai kutaka kumpiga marufuku ama kutaka kumkamata kwa makosa yao yoyote wanayoweza kuanzisha, watakuwa ni sawa na kumsukuma churn ndani ya maji - JPM Hana shida na nchi zao, Ana-enjoy kuwa humu Bongoland.Nimpongeze Mkuu wa Nchi kwa hatua za mwanzo kabisa juu ya suala la Makenikia.
Kwanza amedhubutu na ameweza imezoeleka Waafrika kuwa wadhaifu pale wanapokuta na Wazungu ila naona awamu hii wamewekwa kona Mbaya,Ni nadra sana kwa Viongozi wa Nchi za Kiafrika kuchukua hatua au kusimama na wazungu na matokeo kutoka kama ya leo ya 50% by 50% kwenye nia pana njia ameonesha muelekeo mzuri na sisi tuanze kufaidi mali zetu.
Mwisho hongera sana wanakamati na Wazungu kwa kujali maslahi ya wanyonge
Bravo our President 2020 hakuna haja ya kutumia nguvu kubwa unajua unachofanya.
So wamegundua the man is indeed indomitable na undisputed kwenye kujiamini katika uongozi wake. JPM is going to be a reference in world academic displines.